Alienguliwa na nani?.Au mimi ndio sijui maana au yofauti ya kuenguliwa au mtu kushindwa uchaguzi kwa matokeo yake kuporwa.Profesa Jay ni miongoni mwa wabunge wachache wa upinzani ambao kuenguliwa kwake kuliwauma hata CCM wenyewe.
Siasa sio Uadui,waende na mahabusu kumwona Mh MboweSegerea wataenda lini? Kumtembelea mahabusu wa kisiasa mtuhumiwa wa ugaidi, mwenyekiti wa CHADEMA?
Sumu yake huponiHalafu kule kwetu kuna nyoka anaitwa swila ni balaa huyo
Ni hatari kabisa huyo mdudu.Sumu yake huponi
Tumieni Kiswahili bwana! Mnajiaibisha sana!Respect bro.
Let your ego not drive you out of your dignity.
Leave this kind of the statements to noise makers.
Kumtembelea mgonjwa ni jambo jema,hata kama hao CCM hawana utu lakini hapo wamefanya vyema.Segerea wataenda lini? Kumtembelea mahabusu wa kisiasa mtuhumiwa wa ugaidi, mwenyekiti wa CHADEMA?
Hizi ni siasa mdogo wangu .. Ungetafakari nilichoandika ungejifunza mengi zaidi..Kumtembelea mgonjwa ni jambo jema,hata kama hao CCM hawana utu lakini hapo wamefanya vyema.
Sidhani ni lazima kila mtu amtembelee Mbowe gerezani.
Cha pili ni kwamba wameona gap la utu ndani ya Chadema kwa viongozi ambao sio wachaga wakatumia fursa ya kisiasa.
Hivi ni kweli Viongozi wa Chadema hawakuwa na muda wa kwenda kumjulia hali J kwa vile tu mwenyekiti ana kesi mahakamani?sidhani.
Tuwe na utu na tujiongeze mara nyingine.
Nb:Usiniambie walikwenda lakini hawakutaka picha picha
Well said mkuu......Mungu amponye haraka Joseph hauleProf J,Mti mkavu ni mti mkavu kweli.Hata akiwa bungeni alionyesha ukomavu mkubwa,hakuwa na mihemko kama wabunge wengi wa chadema.
Alizungumza kwa sauti ya heshima iliyojaa Mamlaka. Nilimuweka kwenye kundi la wanasiasa wenye misimamo alipokataa kuunga mkono juhudi za jiwe pamoja na kujua kiti chake anakwenda kukipoteza akiendelea kubaki upinzani.
Sasa leo ukimtuhumu amefika bei kwa sababu hajahangaika na kesi ya mbowe au hajawahi kusema mbowe sio gaidi utakuwa humtendei haki.
Always wanaHiphop hawafuatagi mikumbo ni watu wanaopenda sana Uhuru wao.
Naskia anafanyiwa dialysis...so it means kidney problemsHuyu dogo yawezekana anaugua sana japo ni siri siri hivi
Kuenguliwa au kuporwa uchaguzi.Profesa Jay ni miongoni mwa wabunge wachache wa upinzani ambao kuenguliwa kwake kuliwauma hata CCM wenyewe.
Akili yako haina akili. Hutaki ukweli usemwe mjaa laana, LAANAKUM.Respect bro.
Let your ego not drive you out of your dignity.
Leave this kind of the statements to noise makers.
Profesa J aliwaimba kwenye wimbo wake Machozi Jasho na Damu. Wanakwenda kumuona kinafiki huku wanasubiria kifo chake kwa hamu.Wanafiki wakubwa hao, tena wachawi kabisa