usilalie bahat ya mwenzio mlango waz. utaumwa na simba.roho mbaya tu kwan kama ni mtoto wa dada au nan.na ana vigezo vya ajira hio shida ipo wap? roho za husuda na mbaya utaishia kutweet tu hapaBado Kiviele mwenzangu ni contractor mkubwa wa serikali! mayanga construction
Kila uzi wewe ni kusema kuwa huna chama! Jitambulishe tu wewe ni wa ccm.Mimi sina chama ila ila nadhani wasanii wanaipenda Ccm wanajitolea
wew kitu kama hicho akipoMimi sina chama ila ila nadhani wasanii wanaipenda Ccm wanajitolea
umeongea la maan ila kweli bhna maan wasanii ni weng mnoNahisi pesa ni nyingi sana kundi lote kuli- maintain kwa kila kitu. Fedha hizo wanachota wapi?
Ni wazi Kuna ufisadi mkubwa wa fedha za Umma zinatumika visivyo! Time will tell, if not today, tomorrow!
Hakuna gharama kubwa, maana wasanii hatulipwi chochote.Nahisi pesa ni nyingi sana kundi lote kuli- maintain kwa kila kitu. Fedha hizo wanachota wapi?
Ni wazi Kuna ufisadi mkubwa wa fedha za Umma zinatumika visivyo! Time will tell, if not today, tomorrow!
Ruzuku kwa vyama vyote ni kodi ya watanzania, hata hizo anazolipwa Askofu Mwamakula ni kodi zetu.Kwa kifupi kabisa wanatumia kodi za watanzania
Mimi sina chama ila ila nadhani wasanii wanaipenda Ccm wanajitolea
Ruzuku haitoshi ndiyo maana unaona ukata huko chadema.CCM wanatumia zaidi ya ruzuku.Halafu kwani Askofu Mwamakula analipwa kinyume cha sheria?Hapa tunazungumzia malipo kinyume na sheriaRuzuku kwa vyama vyote ni kodi ya watanzania, hata hizo anazolipwa Askofu Mwamakula ni kodi zetu.
Una uhakika wana lipwa?
Sijasema Mwamakula analipwa kinyume na sheria. Yule ni sehemu ya timu ya kampeni.Ruzuku haitoshi ndiyo maana unaona ukata huko chadema.CCM wanatumia zaidi ya ruzuku.Halafu kwani Askofu Mwamakula analipwa kinyume cha sheria?Hapa tunazungumzia malipo kinyume na sheria
Ccm ni chama kikubwa kinapata ruzuku kiasi gani?Nahisi pesa ni nyingi sana kundi lote kuli- maintain kwa kila kitu. Fedha hizo wanachota wapi?
Ni wazi Kuna ufisadi mkubwa wa fedha za Umma zinatumika visivyo! Time will tell, if not today, tomorrow!
Ni muhimu pia chadema wajiangalie kile kidogo wanachopata kinakoelekezwa.Ccm ni chama kikubwa kinapata ruzuku kiasi gani?
Wana miradi mikubwa mikoa karibu yote nchini. Sasa kuhoji hayo ni Kama umekosa neno la kuanzia wiki....
1.CCM wanatumia magari ya serekali kufanya kampeni.Hizi ni gharama ambazo ziko nje ya ruzuku na ni kinyume na sheriaSijasema Mwamakula analipwa kinyume na sheria. Yule ni sehemu ya timu ya kampeni.
Ni malipo gani yaliyo kinyume na sheria unayozungumzia labda!
ingekua vizuri unaanza wewe kuniuliza mamaako Kama hua analipwa kiasi gani kwa shughuli ya babaakomuulize mama yako kama huwa nauliza maswali ya kijinga
Hawawezi kuharibu brand zao kwa kujihusisha na hilo genge la kigaidi bila kulipwa fedha ndefu kwani kuna maisha baada ya kampeni.Bashiru Ally kwenye kipindi cha dakika 45 ITV alisema hawalipwi wanaimba kwa mapenzi yao kwa CCM tu.