Ni kodi mnazolipa.Nahisi pesa ni nyingi sana kundi lote kuli- maintain kwa kila kitu. Fedha hizo wanachota wapi?
Ni wazi Kuna ufisadi mkubwa wa fedha za Umma zinatumika visivyo! Time will tell, if not today, tomorrow!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kodi mnazolipa.Nahisi pesa ni nyingi sana kundi lote kuli- maintain kwa kila kitu. Fedha hizo wanachota wapi?
Ni wazi Kuna ufisadi mkubwa wa fedha za Umma zinatumika visivyo! Time will tell, if not today, tomorrow!
Ndiyo. Tunapigwa mkwara tu na akina Polepole kwamba tusiposhiriki tutakutana na BASATA ama TRA
Kama unaongelea walinzi wa Rais, hapo si kinyume na sheria. Pamoja na kwamba ni mgombea urais, lakini pia hajauvua urais wake hadi atakapomaliza muhula. Ukimnyima ulinzi itakuwa ngumu kufanya hata hizo kampeni. Hata kwa wabobevu wa haya mambo Trump anafanya kampeni akiwa na hao walinzi wanaolipwa na serikali.1.CCM wanatumia magari ya serekali kufanya kampeni.Hizi ni gharama ambazo ziko nje ya ruzuku na ni kinyume na sheria
2.CCM wanatumia maofisa wa serekali kufanya kampeni kama vile waalimu na walinzi ambao wanalipwa mishahara ya serekali.Hizi ni gharama ambazo ziko nje ya ruzuku na ni kinyume na sheria
C ni mufilisi wa nchi hiiCCM wana miradi mikubwa kama chama Wana majengo mengi ambayo wanakodisha na kupata pesa, viwanja vya mpira bongo asilimia 80 ni vya CCM, bado Wana wabunge wengi kwa hiyo ruzuku wanapata kubwa, ni chama chenye wanachama wengi ile kulipia kadi bado kunawapa hela nyingi tu. Sasa kama chenu hadi leo kinapanga ofisi mtaona wanachofanya CCM ni maajabu
Chadema wajitafakari. TLP hawajawahi kupata hata robo ya ruzuku waliyopata chadema, lakini TLP wana ofisi inayoeleweka. Chadema ruzuku anajilipa Mbowe lakini hakuna mwenye ubavu wa kuhoji.CCM wana miradi mikubwa kama chama Wana majengo mengi ambayo wanakodisha na kupata pesa, viwanja vya mpira bongo asilimia 80 ni vya CCM, bado Wana wabunge wengi kwa hiyo ruzuku wanapata kubwa, ni chama chenye wanachama wengi ile kulipia kadi bado kunawapa hela nyingi tu. Sasa kama chenu hadi leo kinapanga ofisi mtaona wanachofanya CCM ni maajabu
No!Nazungumzia TISS kuvaa sare za CCM.Kwani TISS ni waajiriwa wa CCM au ni watumishi wa umma?Kama unaongelea walinzi wa Rais, hapo si kinyume na sheria. Pamoja na kwamba ni mgombea urais, lakini pia hajauvua urais wake hadi atakapomaliza muhula. Ukimnyima ulinzi itakuwa ngumu kufanya hata hizo kampeni. Hata kwa wabobevu wa haya mambo Trump anafanya kampeni akiwa na hao walinzi wanaolipwa na serikali.
Magari na watumishi wengine wa serikali kutumiwa sitaliongelea kwani sina undani wake kama yana ukweli au kama blabla za kisiasa.
Hilo la kuvaa nguo za chama kweli sijui kwanini walifanya hivyo, labda wana sababu zao za kiusalama. Lakini kuwepo kwao hapo haina tatizo na ni sehemu ya majukumu yao.No!Nazungumzia TISS kuvaa sare za CCM.Kwani TISS ni waajiriwa wa CCM au ni watumishi wa umma?View attachment 1590966View attachment 1590967
Msanii ni kama mtu mwenye basi la abiria hachagui mteja. sasa hawa wamechagua wateja na wateja wengine wamewaelewa!Kwa kifupi bwashee hao wasanii wanajigharamia wenyewe kwa kila kitu, chama kinawapa jukwaa tu!
Una uhakika kuwa wakati wa kampeni rais anaewania muhula mwingine anapaswa kulindwa na ulinzi wa umma na wala siyo ulinzi wa chama chake?Hilo la kuvaa nguo za chama kweli sijui kwanini walifanya hivyo, labda wana sababu zao za kiusalama. Lakini kuwepo kwao hapo haina tatizo na ni sehemu ya majukumu yao.
Kina Sugu wameamua kuwa wanasiasa. Hawa wameside na upande mmoja waziwazi wapenzi wanawachukuliaje.Wasanii wote ni makada wa CCM kama ilivyo Sugu na Prof J ni makamanda hapo Ufipa!
Nina uhakika 100%. Hao walinzi wa chama ni ziada tu.Una uhakika kuwa wakati wa kampeni rais anaewania muhula mwingine anapaswa kulindwa na ulinzi wa umma na wala siyo ulinzi wa chama chake?
Weka kifungu cha actNina uhakika 100%. Hao walinzi wa chama ni ziada tu.
Soma katiba ya jamhuri 42 (2) na 42 (3)Weka kifungu cha act
We mjinga kabsa unauhakik stamina anapenzi na CCMBashiru Ally kwenye kipindi cha dakika 45 ITV alisema hawalipwi wanaimba kwa mapenzi yao kwa CCM tu.
mnafki mkubwa wwMimi sina chama ila ila nadhani wasanii wanaipenda Ccm wanajitolea