lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Nchi sasa imepumua, hakuna kupotezwa, hakuna kutekwa, hakuna kutukanwa,hakuna kufokewa hakuna uongo, hakuna vitisho, hakuna kubaguliwa hakuna kunyanyaswa kwenye nchi yeti wenyewe. Kama ukiniuliza kati ya wawili hao mimi ni bora samia.Yule jamaa hakua mtu.
Hofu inapungua taratibu kwa sababu alipandikiza watu wake kila sehemu na bado wapo.
Narudia tena CCM sio watu ila ni bora samia kuliko yule jamaa.
Hofu inapungua taratibu kwa sababu alipandikiza watu wake kila sehemu na bado wapo.
Narudia tena CCM sio watu ila ni bora samia kuliko yule jamaa.