Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Let the man rest, hizi nyuzi zenu za kumhusu jamaa ambaye hayupo tena haziwezi kuponya majeraha yenu.
hahahaNchi sasa imepumua, hakuna kupotezwa, hakuna kutekwa, hakuna kutukanwa,hakuna kufokewa hakuna uongo, hakuna vitisho, hakuna kubaguliwa hakuna kunyanyaswa kwenye nchi yeti wenyewe. Kama ukiniuliza kati ya wawili hao mimi ni bora samia.Yule jamaa hakua mtu.
Hofu inapungua taratibu kwa sababu alipandikiza watu wake kila sehemu na bado wapo.
Narudia tena CCM sio watu ila ni bora samia kuliko yule jamaa.
Haya yote ni maneno yakujifariji tu! Ukiambiwa orodhesha watu hata watano tu waliouliwa na Magufuli utabaki kutaja akina Azori mara Lisu!
Sasa unasema hayo yote kwenye maisha yako imeongezeka nini? Maana kama kutukana mlikuwa manatukana sana hata kipindi cha Magufuli!
Je huyu Bibi yako kaongeza chochote mfukoni mwako na je gharama ya manisha kipindi cha Magufuli na sasa iko vipi?! Kama sio basi unaongea ujinga!
Kupotezwa duniani kote utakutana nayo.wewe cheza na mambo ya msingi katika nchi yoyote iwe china na hata marekani utashugulikwa tu.Tujifunze kuheshimu mamlaka na tuache husda.Mjikusanye mpange njama za kukwamisha vitu mkipatikana watu wawashugulikie kama mwanasesere?no in this world.
MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI NDO WAMEPUMUA KWA SASANchi sasa imepumua, hakuna kupotezwa, hakuna kutekwa, hakuna kutukanwa,hakuna kufokewa hakuna uongo, hakuna vitisho, hakuna kubaguliwa hakuna kunyanyaswa kwenye nchi yeti wenyewe. Kama ukiniuliza kati ya wawili hao mimi ni bora samia.Yule jamaa hakua mtu.
Hofu inapungua taratibu kwa sababu alipandikiza watu wake kila sehemu na bado wapo.
Narudia tena CCM sio watu ila ni bora samia kuliko yule jamaa.
Kwanini huyo shetani wako hakuifyeka ccm?Lilikuwa shetani Luciferi, liuaji likubwa haijawahi tokea! Limefyekelewa kwa mbali, asante bwana Shetani kwa kulifyeka
Kumbe ni hayo tu ndio yalikuwa matatizo ya mtz yaliyoletwa na yule jamaa?..hakuna hotuba za kikabila.
..au kila mteuliwa kutajwa kabila lake.
..na vijembe vya kutwezana kikabila.
..pia ibada za jumapili zimetuliwa hakuna kuvamiwa.
..halafu hata Kingereza hakichukiwi kama wakati ule.
..Na lugha yetu ya Kiswahili tunaienzi kwa kuzungumza kwa ufasaha.
Nduli idi amin alikuwa analea magaidi na sasa mama anaupiga mwingi hadi yanyewe yananyea debeNduli Idd Amin
Kabisa mkuu!Ni bora kununua sukarii elfu kumi kuliko kuongozwa na yule Nduli
Hata kwa gaidi nae?Sasa hivi ni mwendo wa marashi ya karafuu tu.
Nipo bed napigania uhai wangu ila umenifurahisha sana..hakuna hotuba za kikabila.
..au kila mteuliwa kutajwa kabila lake.
..na vijembe vya kutwezana kikabila.
..pia ibada za jumapili zimetuliwa hakuna kuvamiwa.
..halafu hata Kingereza hakichukiwi kama wakati ule.
..Na lugha yetu ya Kiswahili tunaienzi kwa kuzungumza kwa ufasaha.
Mwamba anarudi kwenye Medani na Lissu nae anatia timuHata kwa gaidi nae?