Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe aka KichaaNi Jamaa gani huyo ambaye hakuwa mtu??!!
Rais wa Tanzania ni zaidi ya MUNGUDawa ya CCM ni moja tuuuu - KATIBA MPYA.
Hata wao kwa wao wanaogopana na kutishana sababu ya katiba hii...we uliona wapi duniani Spika wa Bunge analia lia.
Rais wa Tanzania ni Mungu mtu..anaweza kuamua hatima yako muda wowote akitaka...
Hata shetani anakushangaa kwa huu uchawi wakoMungu mponye mama yetu Samia.
Ni bora kununua sukarii elfu kumi kuliko kuongozwa na yule NduliHaya yote ni maneno yakujifariji tu! Ukiambiwa orodhesha watu hata watano tu waliouliwa na Magufuli aubaki kutaja akiba Azori mara Lisu!
Sasa unasema hayo yote kwenye maisha yako imeongezeka nini? Mwana kama kutukana mlikuwa manatukana sana hata kipindi cha Magufuli!
Je huyu Bibi yako kaongeza chochote mfukoni mwako na je gharama ya manisha kipindi cha Magufuli na sasa iko vipi?! Kama sio basi unaongea ujinga!
Dikteta kashakufa hakuna namna, binafsi sioni nafuu yoyote kwa hawa wawiliHaya yote ni maneno yakujifariji tu! Ukiambiwa orodhesha watu hata watano tu waliouliwa na Magufuli aubaki kutaja akiba Azori mara Lisu!
Sasa unasema hayo yote kwenye maisha yako imeongezeka nini? Mwana kama kutukana mlikuwa manatukana sana hata kipindi cha Magufuli!
Je huyu Bibi yako kaongeza chochote mfukoni mwako na je gharama ya manisha kipindi cha Magufuli na sasa iko vipi?! Kama sio basi unaongea ujinga!
Najua unataka info.... najua unamtakia mabaya sana ila Samia is there to stay... poleHata shetani anakushangaa kwa huu uchawi wako
Mama Samia yu buheri wa afya na hana shida yeyote wala haumwi! Endeleeni kujitia uchizi misukule fc
Majitu ya hivyo sio ya kuyapa madaraka hata hayajifunzi kwa wengine.Tena kuna wengine Magufuli akasome.
Mfano yule alietaka kumfunga Lwakatare kwa Ugaidi wa kuchonga au liemzingua Abdul Nondo akiwa Raisi tutahama nchi sisi wenye Mawazo mbadala.
Mimi nimtakie Samia kifo?? Utakuwa umerogwa wewe!Najua unataka info.... najua unamtakia mabaya sana ila Samia is there to stay... pole
Samia ni mgonjwa namtakia heri apone haraka.Mimi nimtakie Samia kifo?? Utakuwa umerogwa wewe!
Wewe unaeongea ujinga wako ndo unamtakia mama yetu uchuro!
Kwa taarifa yako Mama Samia yuko vizuri, hajaumwa na wala haumwi endelea kuendekeza uchawi wako huo.
Na unae Kama Rais wako kwa Uweza wa Mungu hadi 2030 kama Rais wako wa JMT
Sio mgonjwa na haumwi.Samia ni mgonjwa namtakia heri apone haraka.
Samia ni mgonjwa.Sio mgonjwa na haumwi.
Ushindwe na uchuro wako kwa Jina la Yesu mchawi wewe!
Endelea kumuombea mabaya na Mungu ndo keshakuabishaSamia ni mgonjwa.
Wanatapatapa Sana,tuko na SamiaNajua unataka info.... najua unamtakia mabaya sana ila Samia is there to stay... pole
Kwani yeye ni Jiwe kwamba hawezi kuugua? Mbona Marais wengi tuu wameugua na taarifa zinatoka?Samia ni mgonjwa.
Kabisa aisee hakuwa binadamu bali jinamiziNi bora kununua sukarii elfu kumi kuliko kuongozwa na yule Nduli
Kupotezwa duniani kote utakutana nayo.wewe cheza na mambo ya msingi katika nchi yoyote iwe china na hata marekani utashugulikwa tu.Tujifunze kuheshimu mamlaka na tuache husda.Mjikusanye mpange njama za kukwamisha vitu mkipatikana watu wawashugulikie kama mwanasesere?no in this world.Nchi sasa imepumua, hakuna kupotezwa, hakuna kutekwa, hakuna kutukanwa,hakuna kufokewa hakuna uongo, hakuna vitisho, hakuna kubaguliwa hakuna kunyanyaswa kwenye nchi yeti wenyewe. Kama ukiniuliza kati ya wawili hao mimi ni bora samia.Yule jamaa hakua mtu.
Hofu inapungua taratibu kwa sababu alipandikiza watu wake kila sehemu na bado wapo.
Narudia tena CCM sio watu ila ni bora samia kuliko yule jamaa.
Exactly, chini ya uongozi wa Samia, nyoyo zetu zimetulia, wafanyabiashara na wafanyakazi wamejawa amani tell,Nchi sasa imepumua, hakuna kupotezwa, hakuna kutekwa, hakuna kutukanwa,hakuna kufokewa hakuna uongo, hakuna vitisho, hakuna kubaguliwa hakuna kunyanyaswa kwenye nchi yeti wenyewe. Kama ukiniuliza kati ya wawili hao mimi ni bora samia.Yule jamaa hakua mtu.
Hofu inapungua taratibu kwa sababu alipandikiza watu wake kila sehemu na bado wapo.
Narudia tena CCM sio watu ila ni bora samia kuliko yule jamaa.
Ndo maana hapo juu nimemuombea apone haraka huyo Sukuma gang kanivamia.Kwani yeye ni Jiwe kwamba hawezi kuugua? Mbona Marais wengi tuu wameugua na taarifa zinatoka?
Ishu sio kuugua bali unaugua ugonjwa gani ndio iwe mjadala,kuna magonjwa ya kutengeneza na magonjwa Yale acute kama ugonjwa wa moyo wa Mwendazake.