Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni hayo tu ndio yalikuwa matatizo ya mtz yaliyoletwa na yule jamaa?
Vipi magaidi nao?
Hatuwezi kumpinzisha shetani wa Chato kamwe. Tunataka Dunia ielewe kuwa DIKTETA aliharibu Nchi yetuLet the man rest, hizi nyuzi zenu za kumhusu jamaa ambaye hayupo tena haziwezi kuponya majeraha yenu.
Yule alikuwa muovu shetani kabisa. Na Samia kaja hofu hakuna tayari Kuna uhuru kutekwa na kutishwa tishwa sasa hakuna.Nchi sasa imepumua, hakuna kupotezwa, hakuna kutekwa, hakuna kutukanwa,hakuna kufokewa hakuna uongo, hakuna vitisho, hakuna kubaguliwa hakuna kunyanyaswa kwenye nchi yeti wenyewe. Kama ukiniuliza kati ya wawili hao mimi ni bora samia.Yule jamaa hakua mtu.
Hofu inapungua taratibu kwa sababu alipandikiza watu wake kila sehemu na bado wapo.
Narudia tena CCM sio watu ila ni bora samia kuliko yule jamaa.
Wakielewa then what...?Hatuwezi kumpinzisha shetani wa Chato kamwe. Tunataka Dunia ielewe kuwa DIKTETA aliharibu Nchi yetu
Ha ha haa.Hatuwezi kumpinzisha shetani wa Chato kamwe. Tunataka Dunia ielewe kuwa DIKTETA aliharibu Nchi yetu
Ukweli tumepumua kama taifaYule alikuwa muovu shetani kabisa. Na Samia kaja hofu hakuna tayari Kuna uhuru kutekwa na kutishwa tishwa sasa hakuna.
Mungu fundi ametuondolea uonezi
Akachomwe na moto wa mawe huko jehanamWakielewa then what...?
Itakuwa fundisho kwao kuwa Madikteta hayafai kuongoza nchi.Wakielewa then what...?