lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Lilikuwa shetani Luciferi, liuaji likubwa haijawahi tokea! Limefyekelewa kwa mbali, asante bwana Shetani kwa kulifyekaYule jamaa hakua mtu.
Sawa Mkuu ila nia yangu ni kumsifia Samia inatokea ni lazima umlinganishe na aliemtangulia.Tumuache apumzike Sasa, Sasa ni wakati wa kuondoa mapandikizi yake. Yeye alishafukukiwa.
Fuso ukisikia mgonjwa haitaki dawa ndio hili suala la katiba.Dawa ya CCM ni moja tuuuu - KATIBA MPYA...
Tena kuna wengine Magufuli akasome.Hata mimi aisee,kwanza sijaona mwingine Kwa sasa labda angekuwa Mwinyi,waliosalia wengi wao ni wapuuzi.
Jiwe astahili hata kutajwa tajwa.Sawa Mkuu ila nia yangu ni kumsifia Samia inatokea ni lazima umlinganishe na aliemtangulia.
Hamna namna kama alifanya vizuri au vibaya atatajwa tu kwa Maisha yote.
Mbona Nyerere kila mara tunamtaja?
Yule jamaa hakua mtu.
Firauni na Hitler nao wanatajwatajwa sembuse Jiwe!!?Jiwe astahili hata kutajwa tajwa.
Let the man rest, hizi nyuzi zenu za kumhusu jamaa ambaye hayupo tena haziwezi kuponya majeraha yenu...hakuna hotuba za kikabila.
..au kila mteuliwa kutajwa kabila lake...
alafu kwa kuomba kuombewa alikuwa namba wani.Lilikuwa shetani Luciferi, liuaji likubwa haijawahi tokea! Limefyekelewa kwa mbali, asante bwana Shetani kwa kulifyeka
Nduli Idd AminNi Jamaa gani huyo ambaye hakuwa mtu??!!
Alikuwa shetani yule (nabii Mwingira).Yule jamaa hakua mtu.
Ile njemba ingefufuka japo kwa masaa mawili afu ikasoma yanayoandikwa JF, ingededi tena fasta sanaAlikuwa shetani yule (nabii Mwingira)