CCM yaitisha Kikao Kizito Maalumu cha kamati Kuu

Mema yanakuja Mama 5 tena hakika Tanzania ni yakijani kila sehemu ni vifijo na nderemo hakika Tanzania imefunguka kuanzia elimu,ajira vijana wanazidi kuneemeka
 
The best thing ni kuja na solutions za matatizo ya maboss wao, "wananchi"...na mambo yatakuwa mepesi..
Otherwise, hii ni dunia sio kitongoji..tupo katika information era, people are now really questioning
 
The best thing ni kuja na solutions za matatizo ya maboss wao, "wananchi"...na mambo yatakuwa mepesi..
Otherwise, hii ni dunia sio kitongoji..tupo katika information era, people are now really questioning
CCM inaendelea kutatua kero za watanzania na kuwapatia majibu kila uchao.hakuja jiwe linaloachwa Pasipo kugeuzwa .hakuna tatizo au kero inayoachwa Pasipo kutafutiwa ufumbuzi.
 
kikao cha mustakabali wa uelekeo wa siasa safi nchini kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao...

kila la kheri comrades ladies and gentlemen 🙏

in advance,
karibu sana Makamu mwenyekiti mpya wa CCM Taifa
 
kikao cha mustakabali wa uelekeo wa siasa safi nchini kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao...

kila la kheri comrades ladies and gentlemen 🙏

in advance,
karibu sana Makamu mwenyekiti mpya wa CCM Taifa
Nakuunga Mkono Mheshimiwa Mbunge na naamini pia na Mwakani lazima uwepo Mjengoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…