Wanyamwezi hawadanganyiki tena.mwisho umefika. Watu wana njaa ,bei juu kila bidhaa mmekaa miaka zaidi ya 50 madarakani mnafanya nini umasikini umejazana kijijini. Hizi ni salamu tunatuma watanzania tumechoka na haya maisha.sanduku la kura litaamua.Hao ni wanyamwezi wajinga! Hawajui kabisa kuwa hicho si Chama bali ni kampunitena kampuni ya watu wa kanda fulani!
Tutakaoindoa CCM madarani ni wananchi tuliochoshwa na umasikini katika nchi hii na siyo Chadema. Nadhani kwa mfano huu wa tabora utakuwa umenielewa.Chadema kuna mipango thabiti kweli ya kuiondoa CCM madarakani 2020? Sio kwa siasa hizi za propaganda na matukio
Nccr tuko nao, tlp hawaeleweki maana tayari Mwenyekiti wao mrema kateuliwa Serikalini na kasema hakuna mtu anayefaa zaidi ya Magufuli , ACT nao hawaeleweki tumeona juzi Kada wao kitila nae kaingizwa kwenye system.Mkuu je hawa wengne nao vp nao wana mgogoro Kama cuf?
Maana mi najua kuna vyama vinne vinashirikiana
CCM haijawahi kushinda kwa haki tangu mwaka 2010.Teh,kwa hyo leo tume imetenda haki? Tatzo chadema vigeugeu saana.kwa jinsi mnavo shangilia,mjiandae pia kushangilia matokeo ya urais 2020,ambapo ccm itaibuka kidedea
Mkuu mbona sijaona kiti hata kimoja kwa nccr ambao unasema mko pamojaNccr tuko nao, tlp hawaeleweki maana tayari Mwenyekiti wao mrema kateuliwa Serikalini na kasema hakuna mtu anayefaa zaidi ya Magufuli , ACT nao hawaeleweki tumeona juzi Kada wao kitila nae kaingizwa kwenye system.
Hivi vyama ni rahisi sana kurubuniwa na serikali kutokana na njaa.lakini chadema kipo imara sana. Wengine hawaaminiki
cocochanel nakusalimia habari za muda huu??
Huko si kwao na Lipumba? mbona CUF haina kitu?Sawa asante kwa kunipa jibu lililo shiba
Mkuu hawa kubishana nao nikupoteza mda wako wache wabaki na akili zao hizoHuko si kwao na Lipumba? mbona CUF haina kitu?
Wapi Mh Lipumba na CUF yako?,Lipumba ona aibu tuachie chama chetu.WANYAMWEZI WENZANGU NAO WAMEPELEKA UJUMBE LUMUMBA. TABORA YA LEO SIO YA MWAKA 77.
Matokeo Uchaguzi Mdogo wa Vijiji na Vitongoji wilaya ya Uyui mkoani Tabora 23/4/2017.
CCM Ya pigwa na chadema
1.KITONGOJI CHA NYANGALAMILA CCM 85, CDM 156✔
2.KITONGOJI CHA NDONO MILUMBANI CCM 15,CDM 32✔
3.KIJIJI CHA ITOBELA CCM 298, CDM 232
4.KITONGOJI CHA KINAMAGI MIHONGONI CCM 31, CDM 49✔
5.KIJIJI CHA NDOBA CCM 67, CDM 123✔
6.KIJIJI CHA MSIMBA CCM 269, CDM 288✔
7.KITONGIJI CHA ITINKA CCM 8 CDM 22✔
8.KITONGIJI CHA IBADI CCM 22, CDM 26✔
9.KITONGIJI CHA NYANGALAMILE-SHITAGE CCM 45, CDM 117✔
10.KITONGOJI CHA BUKALA CCM 21 CDM 167✔
11. KITONGOJI CHA SESELA CCM 47, CDM 21
12.KITONGOJI CHA KABUMBULI CCM 81, CDM 5.
13.KITINGOJI CHA IMALAUDUKI CCM 90, CDM 230✔
14.KITONGOJI CHA IPUMLO CCM 45, CDM 72✔
15.KITONGOJI CHA UGOWOLA "B" CCM 85, CDM 158.✔
16.KIJIJI CHA NZUBUKA CCM 195, CDM 502✔
Ukweli wanaujua vizuri sanaMkuu hawa kubishana nao nikupoteza mda wako wache wabaki na akili zao hizo
Kabisa ni hatua njema sana hiiHatua njema sana hii.
Mpak vijijini wameanza kuamka sasa.
Aliyetangaza matokeo haya ajira yake sijui.....!!!Wee kweli chama tawala wamekula nock out kias hicho ata tabora hapana siamni