covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
IseeView attachment 3206619
Hiyo ndio habari mpya toka mkutano Mkuu wa CCM Taifa kuwa Dkt Emmanuel Nchimbi ndio Mgombea mwezi wa CCM katika Uchaguzi Mkuu Ujao.
Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Dkt Philip Esdori Mpango ameomba kupumzika,
Mabadiliko haya yatakuwa na effect kuanzia mwezi July baada ya Bunge kuvunjwa hivyo Dkt Mpango na Dkt Emmanuel Nchimbi wataendelea katika nafasi zao hizo hizo.