ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
A
Act ni chama Tanzu cha ccmCHADEMA nao wamalize uchaguzi wao kwa kuteua moja kwa moja mgombea urais wao kama ccm wamemaliza kila kitu. ligi inaanza mapema januari hii. ACT wameishajipanga tayari wana mgombea wao. ni dhahiri kampeni kali zinaanza kabla ya muda rasmi. Hakuna kuzubaa, zubaa uachwe solemba. CCM wameishamaliza kazi na mbio wamezianza kuelekea uchaguzi mkuu