milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Adam Kimbisa,baada ya uchaguzi mkuu 2025, atalamba dume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unai-endorse ccm. Siku zote najuaga ww Ni kamanda wa chadema
NdioNi Mkatoliki?
Nyau we!UONGO
Hii nchi ina vituko sana,si ajabu hawajawaza kabisa kuhusu hilo!Kwahiyo likitokea la kutokea huyo Nchimbi ndiyo anakuwa Raisi wa Tanzania
Hii umeijua kipindi hiki au toka zamani.?Africa hakuna uchaguzi mkuu ,No reform no Election ,kama Tume ni Hii basi hakuna Uchaguzi bali ni FUTUHI.
fasta ACT na CCM wametangaza wagombea wao wa urais ndani wiki mapema januari. Kule CHADEMA nao watoke na azimio moja la nani agombee urais kampeni zianze tu maana kuna vyama vitaachwa mbali sana bado vimelala usingizi wa kisiasaA
Act ni chama Tanzu cha ccm
Sio mkatoliki tu,ni mseminari.Ni Mkatoliki?
Muda wa waziri mkuu umeishaHahaha kasahau kusema Majaliwa atakuwa waziri mkuu, na Tulua Ackson atakuwa spika wa bunge lijalo.
Wanateua majina mapema ili kura feki zikaprintiwe mapema ili wapate ushindi wa kishindo 🤣🤣🤣Wapinzani wajipange, bingwa anakabia juu kulinda ubingwa wake....mbinu nzuri sana ya kujihami.
wanatengeneza mashambulizi mfululizo haina kupoa. Mwendo mpela mpela😄😄
Ana bahati sana
Hiyo ndio habari mpya toka mkutano Mkuu wa CCM Taifa kuwa Dkt Emmanuel Nchimbi ndio Mgombea mwezi wa CCM katika Uchaguzi Mkuu Ujao.
Mabadiliko haya yatakuwa na effect kuanzia mwezi July baada ya Bunge kuvunjwa hivyo Dkt Mpango na Dkt Emmanuel Nchimbi wataendelea katika nafasi zao hizo hizo.
===
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameridhia kwa kauli moja kumpitisha Katibu Mkuu wa CCM Taifa Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea mwenza (Makamu wa Rais) kwa Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu wa 2025.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mgombea urais, Samia Suluhu Hassan alimpendekeza Katibu Mkuu wa chama hicho, Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba 2025 baada ya Makamu Wa Rais, Dkt. Philip Mpango kuomba kupumzika.
Dkt. Nchimbi aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CCM Januari 15, 2024 katika Kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho kilichofanyikia Unguja, visiwani Zanzibar.
Dkt. Nchimbi alichukua nafasi iliyoachwa wazi na Daniel Chongolo aliyejiuzulu Novemba 29, 2023.
Rais Samia amempendekeza Dk Nchimbi leo Jumapili, Januari 19, 2025 katika mkutano mkuu maalumu jijini Dodoma.