Pre GE2025 CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
A
Act ni chama Tanzu cha ccm
 
Apewe kura za Ndiyooo ,Jogoo limeshawika Dodoma.
 
Chanzo Cha habari,?
 
M
kwa nini siyo P.Mpango? haijawahi kutokea tanzagiza raisi akabadilisha mgombea mwenza ngwe ya pili, nafikiri kuna kitu kinaendelea na sii kidogo kwenye nchi yetu, mficha ugonjwa kifo kitamuumbua …
Mkapa aliwahi au kikwete aliwahi badilisha Gharib Bilala na Dr Shein
 
Muda ni mchache lakini mambo ni mengi mnoo.
Huu mwaka ni mfupi sana.
Naona mwaka huu ukafanana kisiasa na mwaka 2021.
Nimewaza tu.
Ndio itakvyokuwa nchi haiwezi kuchezewa na majambazi lazima ifike mahali ukomo uwepo.
 
Huyu ndo atakua mgombea Uraisi 2030 habarii za February na group wamesha vurugwa tayari Deep state ilisha pendekeza hilo jina kitambo wakati bado iko Brazil kama barozi JPm alimuona kama tishio kwake na kumtupa Brazil
 
Hahaha sasa hamtaki mambo ya ccm wakati nyie ni chadema?

Kila chama kina mambo yake, subirini breaking news za chadema nanyi mtafurahi tu.
 
Wamempima pressure yake ipo vizuri? Magonjwa ya moyo, sukari, obersity nk?
 
Kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM imempitisha Dr. Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza wa urais katika uchaguzi mkuu mwishoni mwa mwaka huu.

Kama CCM watashinda uchaguzi huu Dr. Nchimbi atakuwa makamu wa rais hadi 2030. Na baada ya hapo uwezekano ni mkubwa akapenda kugombea urais wa JMT.

Kwa hiyo kuanzia 2030 uwezekano ni mkubwa kuwa CHADEMA wakawa wanapambana na Nchimbi. Huu utakuwa wakati mzuri kwa CHADEMA kuweza kufurukuta, kuna uwezekano mkubwa. Kwa ujumla Nchimbi ni mwanademokrasia lakini pia ni mtu dhaifu. CHADEMA jipangeni vizuri.
 
Hata wawe watatu, mwaka huu panachimbika!
 
Hongera sana Dkt Samia ktk jambo ambalo umenifurahishaaaa ni hili la comrade Nchimbi. Mungu akubariki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…