Pre GE2025 CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vip swala la URAIA unalifahamu mkuu?? Unalikumbuka speech ya mkuu wa majeshi wakati anamaliza muda wake?? Kabaki jamaa naye atashangazwa soon

Kimsingi Kuna nchi haiamini yanayoendelea🀣🀣🀣🀣
 
M

Mkapa aliwahi au kikwete aliwahi badilisha Gharib Bilala na Dr Shein
Mkapa alibadilisha kwa sababu Dr. OMARY ALLY JUMA alifariki mwaka 2001 au 2002 namba yake ikachukuliwa na Dr. Alli Mohamed Shein, Kikwete alifanya sub ya Dr. Alli Mohamed Shein baada ya kusajiliwa kugombea Zanzibar mwaka 2005 na namba yake ikachukuliwa na Dr. Gharib Bilal.
 
Yule wa Zanzibar kwahiyo anaemda awamu ya tatu, hii kikatiba imekaaje?
 
Mwenyekiti ndiye anaamua, siyo katiba wala ilani.

Kila kitu kimeenda tofauti na matarajio ya wajumbe.

Walidhani walienda kufanya maamuzi, hawakujua walienda kupewa maamuzi kutoka juu.
Yani inashangaza, wajumbe wengi hawajapenda
 
Chama Dola ..
 
Kwa hiyo sub sio kitu kigeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…