Pre GE2025 CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ilikuwa swala la muda tu maana aliponea chupuchupu wakati jina Mh. Filipo linapendekezwa.
 
Ilikua asilimia nyingi kipindi kile awe makamu, ila isionekane alikua mbali na magufuli ndio ikabidi iwe mpango, na majaribio kadhaa ya lazima na yasio ya lazima ya kuondoa yalifanyika ila hayakufanikawa kwa sasa nafasi imepatika isiyo na walaki.

In shoy nchi haina makamu wa rais
 
Kwa nin na wabunge wasiteuliwe waliopo ili tuende nao kabsaa??
 
Nchimbi ni dhaifu? Jidanganye
 
kwa nini siyo P.Mpango? haijawahi kutokea tanzagiza raisi akabadilisha mgombea mwenza ngwe ya pili, nafikiri kuna kitu kinaendelea na sii kidogo kwenye nchi yetu, mficha ugonjwa kifo kitamuumbua …
Unaambiwa aliomba kupumzika na akakubaliwa!
 
Hii Haraka Ya Hiki Chama Kuanza Papara Namna Hii
Lazima Kuna Mengi Sana Tuvute Subira
 
Chongolo alijiuzuru na Mpango ameomba apumzike?
I smell a rat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…