Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Msamaha wa Makamba ni kwa vile mwanae aliomba msamaha.. Inajulikana wazi msamaha ule ulichagizwa kwa sehemu kubwa na ushawishi wa baba
Karipio kali la Komredi Kinana nibkujihusisha na majungu na masimango lakini hajaonesha nia ya kutaka nafasi yoyote.. Vile vile karipio kali linaambatana na maneno MZEE KAA KIMYA TUNAKUFAHAMU
Kufukuzwa kwa Membe ni sababu ya kuonesha nia ya kugombea nafasi kubwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu...
Kwa sasa vumbi halijatulia... Likishatulia kuna mengi yatokanayo yatajitokeza... Hulka ya binadamu wengi ni kukosa koromeo.. Kuna ambao wataropoka kama walivyokwisha anza tayari... Lakini pia mpaka kufikia hatua ya kumfukuza Membe walishapima nguvu yake na kuona ni mwepesi... Japo kuna kitu kingine kikubwa sana nyuma yake.... Kumfukuza MEMBE uanachama ni sawa na kumpika kofi la kelebu JK... Je ataweza kuvumilia haya maumivu?
Muda utasema!
Jr[emoji769]
Karipio kali la Komredi Kinana nibkujihusisha na majungu na masimango lakini hajaonesha nia ya kutaka nafasi yoyote.. Vile vile karipio kali linaambatana na maneno MZEE KAA KIMYA TUNAKUFAHAMU
Kufukuzwa kwa Membe ni sababu ya kuonesha nia ya kugombea nafasi kubwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu...
Kwa sasa vumbi halijatulia... Likishatulia kuna mengi yatokanayo yatajitokeza... Hulka ya binadamu wengi ni kukosa koromeo.. Kuna ambao wataropoka kama walivyokwisha anza tayari... Lakini pia mpaka kufikia hatua ya kumfukuza Membe walishapima nguvu yake na kuona ni mwepesi... Japo kuna kitu kingine kikubwa sana nyuma yake.... Kumfukuza MEMBE uanachama ni sawa na kumpika kofi la kelebu JK... Je ataweza kuvumilia haya maumivu?
Muda utasema!
Jr[emoji769]