Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hagombei chochote?Atakuwa Mheshimiwa Daud Albert Bashite kutoka Kolomije
Nadhani hauko serious na issues au hujui nchi inavyoongozwa...yaani kuchukulia kuwa rais ' amechanganykiwa' kuwa ni kitu Cha kawaida then nadhani bado ni mchanga kwa Mambo ya nchi...
Umemjibu vizuri, kwangu mimi this is the post of the day!Tofautisha Utamaduni na katiba,katiba yenu wapi imeandikwa miaka 10?
TEH..TEH...history hutusaidia kujua taarifa za mgonjwa na kutoa maamuzi kama tunamwamdikia dawa au aendelee na tiba mbadala kwa kuwa huenda amerongwa?Timu Lowasa ishakufa mda . Lowasa tumsahau kwenye ulimwengu wa siasa..
Saiz tudili na timu membe
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania tuna written constitutions in all our undertakingsKatiba siyo lazima iandikwe!
Atapewa ya kuteuliwa na babake hizi za kugombea zitaleta firigisu watu watamkatia rufaa kuhusu mavyeti yake ya kuchonga lakini za kuteuliwa hazina maswaliHagombei chochote?
Mind you there is no free country!When you talk of free countries in the world, stop mentioning this detention camp of 1 billion + people!
Demokrasia ni kitu gani??? Unajua maana ya demokrasia au maana ya kuminyaa demokrasia?? There is no absolute democracy anywhere in this world...Kwa nchi zinazominya Uhuru wa kujieleza na demokrasia ya mfumo wa "mkono wa chuma" Kama ilivyo Tanzania hilo siyo Jambo la ajabu.