BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,666
- 1,053
Wacha kazi kwa mazoea my friend. Hile hezi za wanijua miee zimekwisha. Wazee kama wanakosea chama wataadhiwa kwa Malibu wa taratibu. An wao wanajua, ndio maana wakaitikia witoHata hao wanaotoa uamuzi wanajua nguvu ya hao wazee ni shidaaaa,muda utasema wacha tusubiri
Maamuzi ya hao waheshimiwa watatu 'Three The Hard Way' huenda yakawa 'One Down Two To Go'.Wadau.
Tunawaletea Taarifa za Maamuzi yaliyochukuliwa na Kamati Kuu Ya CCM Kutokea Lumumba Dar es salaam dhidi ya Waliokuwa Makada wa Chama hicho wakiongozwa na Bernard Membe.
View attachment 1371282
Tafadhali usikae mbali.
kwanza hawataweza na wala hawatajaribu kuwafukuza uwanachama,watasema tu tumewasamehe tujenge chama,sababu hawa vifaru hawana cha kupoteza ila ccm itapotezaWadau.
Tunawaletea Taarifa za Maamuzi yaliyochukuliwa na Kamati Kuu Ya CCM Kutokea Lumumba Dar es salaam dhidi ya Waliokuwa Makada wa Chama hicho wakiongozwa na Bernard Membe.
View attachment 1371282
Tafadhali usikae mbali.
Mwenyekiti wa Chama amewasili Ukumbini Tayari kwa Maamuzi
Kampeni meneja wa Magufuli alikuwa Abdallah BulemboKampeni meneja mwaka huu wa mgombea uraisi wa CCM anakuwa nani? Mh. Kinana ametumika kama kampeni meneja wa Mh Kikwete na baadaye Mh Magufuli; jee CCM itamteua nani kuchukua nafasi ya Kinana?
Naonya CCM wasifanye Maamuzi ya Hasira na Kukomoa dhidi ya hawa Makada Waandamizi kwani wanaweza wakaja Kujuta kama si Kujutia hapo baadae. Nimeonya hivi hasa baada ya kupata za chini chini kuwa Maamuzi yatakayotolewa dhidi yao yatakuwa ni ya Kuwakomoa zaidi badala ya kuwa ya Kibusara kwa Afya na Ustawi wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM )
Memba balaaaaup dates?
Kweli ndivyo alivyotuasa kuwa ajaye atabatiza kwa moto.Tutaendelea kusubiri mpaka tuone mzee makamba anavyobatizwa kwa moto
Steven NyerereKampeni meneja mwaka huu wa mgombea uraisi wa CCM anakuwa nani? Mh. Kinana ametumika kama kampeni meneja wa Mh Kikwete na baadaye Mh Magufuli; jee CCM itamteua nani kuchukua nafasi ya Kinana?
Maamuzi ya hao waheshimiwa watatu 'Three The Hard Way' huenda yakawa 'One Down Two To Go'.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapuuzi hawa wanapashwa kuondoshwa period!CCM ni taasisi ambayo haiyumbishwi na mtu au watu,kuwepo/kutokuwepo kwa membe and his colleagues hakukifanyi chama kuyumba,membe and the alike ni kama jani kwenye nyumbani,je likindondoka nyumba itavuja?,CCM ina mifumo imara sio kama CHADEMA ambayo inamuabudu only one person
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kina Lowassa na Kinana walikuwa Upinzani na kuinanga CCM wamepokelewa kama Mashujaa CCM haina Ubavu wa Kuwafukuza hao Makada itaishia kotoa Onyo tu.Wadau.
Tunawaletea Taarifa za Maamuzi yaliyochukuliwa na Kamati Kuu Ya CCM Kutokea Lumumba Dar es salaam dhidi ya Waliokuwa Makada wa Chama hicho wakiongozwa na Bernard Membe.
View attachment 1371282
Tafadhali usikae mbali.
Mwenyekiti wa Chama amewasili Ukumbini Tayari kwa Maamuzi
Umenyang'anywa simu?Wadau.
Tunawaletea Taarifa za Maamuzi yaliyochukuliwa na Kamati Kuu Ya CCM Kutokea Lumumba Dar es salaam dhidi ya Waliokuwa Makada wa Chama hicho wakiongozwa na Bernard Membe.
View attachment 1371282
Tafadhali usikae mbali.
Mwenyekiti wa Chama amewasili Ukumbini Tayari kwa Maamuzi
CCM imekuwa ni chama cha kigaidi siku hizi.... ndiyo maana wengine tumeamua kukaa kando kijifie chenyewe huko!!Wadau.
Tunawaletea Taarifa za Maamuzi yaliyochukuliwa na Kamati Kuu Ya CCM Kutokea Lumumba Dar es salaam dhidi ya Waliokuwa Makada wa Chama hicho wakiongozwa na Bernard Membe.
View attachment 1371282
Tafadhali usikae mbali.
Mwenyekiti wa Chama amewasili Ukumbini Tayari kwa Maamuzi
Ccm ikiwa na hao jamaa ni sawa na isipokuwa nao?Pigo lipi sasa wakati maagizo na maamuzi yanatoka kwa mtu mmoja
Naonya CCM wasifanye Maamuzi ya Hasira na Kukomoa dhidi ya hawa Makada Waandamizi kwani wanaweza wakaja Kujuta kama si Kujutia hapo baadae. Nimeonya hivi hasa baada ya kupata za chini chini kuwa Maamuzi yatakayotolewa dhidi yao yatakuwa ni ya Kuwakomoa zaidi badala ya kuwa ya Kibusara kwa Afya na Ustawi wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM )