CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

Adhabu itatolewa kulingana na athari iliyotokana na makosa yao.
 
Wadau.

Tunawaletea Taarifa za Maamuzi yaliyochukuliwa na Kamati Kuu Ya CCM Kutokea Lumumba Dar es salaam dhidi ya Waliokuwa Makada wa Chama hicho wakiongozwa na Bernard Membe.



View attachment 1371282

Tafadhali usikae mbali.

Mwenyekiti wa Chama amewasili Ukumbini Tayari kwa Maamuzi
kwanza hawataweza na wala hawatajaribu kuwafukuza uwanachama,watasema tu tumewasamehe tujenge chama,sababu hawa vifaru hawana cha kupoteza ila ccm itapoteza
 
Hata kwa Lowassa mlisema hivihivi
Naonya CCM wasifanye Maamuzi ya Hasira na Kukomoa dhidi ya hawa Makada Waandamizi kwani wanaweza wakaja Kujuta kama si Kujutia hapo baadae. Nimeonya hivi hasa baada ya kupata za chini chini kuwa Maamuzi yatakayotolewa dhidi yao yatakuwa ni ya Kuwakomoa zaidi badala ya kuwa ya Kibusara kwa Afya na Ustawi wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM )
 
Kampeni meneja mwaka huu wa mgombea uraisi wa CCM anakuwa nani? Mh. Kinana ametumika kama kampeni meneja wa Mh Kikwete na baadaye Mh Magufuli; jee CCM itamteua nani kuchukua nafasi ya Kinana?
Steven Nyerere
 
CCM ni taasisi ambayo haiyumbishwi na mtu au watu,kuwepo/kutokuwepo kwa membe and his colleagues hakukifanyi chama kuyumba,membe and the alike ni kama jani kwenye nyumbani,je likindondoka nyumba itavuja?,CCM ina mifumo imara sio kama CHADEMA ambayo inamuabudu only one person

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapuuzi hawa wanapashwa kuondoshwa period!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau.

Tunawaletea Taarifa za Maamuzi yaliyochukuliwa na Kamati Kuu Ya CCM Kutokea Lumumba Dar es salaam dhidi ya Waliokuwa Makada wa Chama hicho wakiongozwa na Bernard Membe.



View attachment 1371282

Tafadhali usikae mbali.

Mwenyekiti wa Chama amewasili Ukumbini Tayari kwa Maamuzi
Kama kina Lowassa na Kinana walikuwa Upinzani na kuinanga CCM wamepokelewa kama Mashujaa CCM haina Ubavu wa Kuwafukuza hao Makada itaishia kotoa Onyo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau.

Tunawaletea Taarifa za Maamuzi yaliyochukuliwa na Kamati Kuu Ya CCM Kutokea Lumumba Dar es salaam dhidi ya Waliokuwa Makada wa Chama hicho wakiongozwa na Bernard Membe.



View attachment 1371282

Tafadhali usikae mbali.

Mwenyekiti wa Chama amewasili Ukumbini Tayari kwa Maamuzi
CCM imekuwa ni chama cha kigaidi siku hizi.... ndiyo maana wengine tumeamua kukaa kando kijifie chenyewe huko!!
 
Raisi MAGUFULI hana busara.tabia alizotokanazo darasani anaziendleza mpaka leo. Ni mjivuni na mwenye kiburi sana dhidi ya waliochini yake
Naonya CCM wasifanye Maamuzi ya Hasira na Kukomoa dhidi ya hawa Makada Waandamizi kwani wanaweza wakaja Kujuta kama si Kujutia hapo baadae. Nimeonya hivi hasa baada ya kupata za chini chini kuwa Maamuzi yatakayotolewa dhidi yao yatakuwa ni ya Kuwakomoa zaidi badala ya kuwa ya Kibusara kwa Afya na Ustawi wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom