CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

CCM walivyo wachafu ilishafikia hatua wao kwa wao hawaaminiani tena.

Wakati huo wanaogopana wao kwa wao.

The true colours of serial criminals.
Wadau.

Tunawaletea Taarifa za Maamuzi yaliyochukuliwa na Kamati Kuu Ya CCM Kutokea Lumumba Dar es salaam dhidi ya Waliokuwa Makada wa Chama hicho wakiongozwa na Bernard Membe.



View attachment 1371282

Tafadhali usikae mbali.

Updates:

Mwenyekiti wa Chama amewasili Ukumbini Tayari kwa Maamuzi.
Kikao bado kinaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom