Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Polepole
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampeni meneja mwaka huu wa mgombea uraisi wa CCM anakuwa nani? Mh. Kinana ametumika kama kampeni meneja wa Mh Kikwete na baadaye Mh Magufuli; jee CCM itamteua nani kuchukua nafasi ya Kinana?
Sent using Jamii Forums mobile app