Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hata Chadema wanaweza kumchukua tu,usiwaamini Sana wanasiasaatajiunga ACT wazalendo kugombea uraisi, CHADEMA hana nafasi 2020Twende na Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Chadema wanaweza kumchukua tu,usiwaamini Sana wanasiasaatajiunga ACT wazalendo kugombea uraisi, CHADEMA hana nafasi 2020Twende na Lissu
Kosa la kumbeba Lowassa linaitesa CHADEMA mpaka kesho hata Kama alichangia wabunge kuwa wengi.atajiunga ACT wazalendo kugombea uraisi, CHADEMA hana nafasi 2020Twende na Lissu
Amewashinda pale tu alipoenda na mkewe na kukataa kula wala kunywa chochote walichoandaa.Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Benard Membe afukuzwa uanachama CCM
..bro ake mzee wa msoga hawezi akakubali hii fitna, tutarajie mvurugano mkubwa sana ndani ya nyumba ya wezi na wauaji.Kisa ni kum challenge mtukufu
Makamba vipi?, Mwenzake ameoa mama yake ingawa walicheza naye, ajifunze kumuheshimu baba yake
hivi wapinzani wakimpokea atakuwa asset au liabilitiesWatabeba tu si wafanyabiashara?.......watasema anawatu wengi
Hata sio Mistake,nilichojifunza wanasiasa waliokulia CCM wakitimuliwa tu huwa hawana nguvu yeyoteKUMTIMUA MEMBE, the best mistake CCM wamefanya karibia na uchaguzi....!!!