Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tusubilie watatwambiaje wakiwapokeahivi wapinzani wakimpokea atakuwa asset au liabilities
SISI KAMA CHADEMA MAOMBO YA CCM YANATUHUSU NINI.MIE NADANI NDO MDA BORA WAKUMCHUKUA NA KUMCHALLANGE MAGUFURIMagufuli ni muoga kuliko kunguru !
Mtu aliyekuwa CCM hawezi kuwa Asset hata kidogohivi wapinzani wakimpokea atakuwa asset au liabilities
Watakuwa wamejizika wenyeweHahaha ACT Wazalendo wamepewa mgombea Urais!
....two options.
1.wanazuiwa kufanya siasa for sometime -mpaka uchaguzi upite
2.watasema tumewasamehe lakn mmeonywa
.....hawana uwezo wa kuwafanya nje ya hayo mawili coz wanajua nguvu ya Kinana si ya kitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangeanzisha kampuni sio vyamaIkitokea itabidi katiba za vyama zibadilisho ili viongozi wa juu wawe na hisa maana haiwezekani mtu aliyekitumikia chama maisha yake yote ua utu uzima aje afukuzwe tuu tena na wanachama wapya waliotokea upinzani
Aisee huwezi hata amini ni kama vile vita yangu na Utumishi na ajira zao.
CHADEMA tena c ulisema ACT wazalendoChadema wapewq mgombea Urais!
CHADEMA wakirudia kosa itakuwa Ni Tatizo kubwa.Bora wasiweke mgombea kwa kukosa mgombea kuliko kumchukua MembeChadema wapewq mgombea Urais!