adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Ha hilo povu lako fulia wewe mwenyewe Mkuu.Hili povu mpelekee mkeo akafulie.
Umepanic nini hasa..Na uzuri la kwangu nitaliongezea na Povu jingine tufue vyema.
Pumbavu kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha hilo povu lako fulia wewe mwenyewe Mkuu.Hili povu mpelekee mkeo akafulie.
Thibitisha kwamba karipio sio onyo mkuuKanali Kinana kapewa Karipio sio Onyo
Kwny Adhabu za Chama kuna Onyo na Karipio
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ukikanyaga mavi mengi yamesambaa kwa wingi ndotoni, kesho yake utapata hela! fuatilia alafu ulete mrejesho!
Mafiscm wana hiyo misamiati. Ni vitu viwili tofauti.
Mku samaki yaweza kutoka baharini ikaishi ziwani. Muache mze wa watu achague pakwenda vyama viko vingi sana Tz. Chadema watupe ndowano sasa!!!Kazi ipo.CCM ni maji, Membe ni kama samaki. Samaki ataweza ishi akiwa nje ya maji?Labda Mkapa,Jk waingilie. Tutaona mengi.
Utamaduni wa CCM ni miaka 10 bwashee.2020!
Sanasana Makamba ili kauli ya ubatizo wa Moto iwe imemfikia Tena yeye mwenyewe
Tatizo hana mvuto.Mh Membe kapoteza sifa ya kuwa mwanachama wa ccm na SIYO sifa yakuwa mwanasiasa. Milango iko wazi kwake kwenda chama chochote cha siasa Tanz.
Mfano akija Chadema tutamsafisha kisha ninyi kama kawaida yenu mtamtamani tena na mtamnunua kwa bei mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
When you talk of free countries in the world, stop mentioning this detention camp of 1 billion + people!China mmoja au wawili wangefungwa maisha na pengine hata kupigwa risasi
Lohh hii aihusian na siasaa kwikwiKuna uzi huko siasan umefutwa ulikua na content kama hii sijui shida n nini mpaka ukafutwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mku kule ACT nirahisi kiasi gani wewe kukutoa kwenye uenyekiti? Is it so simple?
Sina shida naye Mkuu ataelewa tu upuuzi wake.Msamahe basi hapa JF tunatuliza ball.