CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

Mama anaifungua nchi mnataka muendelee kupiga hela kila ripoti inayokuja? Mwarabu alikuwa na hiyo bandari toka 1896,

Mlisema waarabu wataleta ugaidi sasa ndio wanakuja kukuleteeni maendeleo na kukustaarabisheni, mulimtukana sana maalim seif sasa mumeenda huko huko kukomboa nchi yenu
 
Kwa hiyo mnachotetea hapa ni Uislamu na Uarabu?
 
Acha uzushi, huelewi chochote. Endelea kula chakula cha shemeji tu hapo kwa dadaako. Huna unachojua
 
Wanaotakiwa kuelimishwa na pia kuonywa ni viongozi hso wa ccm. Wao wameamua kusaliti itikadi ya chama chao na kukabidhi uhuru wa nchi kwa kampuni ya nje kwa madharti ya kibeberu. Tena kuna kila dalili za kampuni hiyo kuhonga vigogo na usalama wa wanaowapinga uko hatarini. Ni kukaribisha umafia nchini.
 
Ok waendelee,Ila mie Kama raia huru,niliyesoma na kugradueate kwa ufaulu wa kipekee toka shule ya msingi hadi chuo kikuu,nakataa mkataba huu🙏sababu ninazo,nia ninayo pamoja na dhamira Safi🙏pamoja tuijenge Tanzania yetu🇹🇿🇹🇿
 
Safi
 
Ahaa! CCM ikataliwe Tanzania!
 
CCM chama Cha mambwa koko, chama Cha kipumbavu sana. Rais wa hovyo kaja na . mikataba ya hovyo. Kashindwa kukusanya Kodi na kuendesha nchi. Hovyo kabisa anatafuta njia nyepesi za kitumwa
 
Kidumu Chama Cha Mapinduzi. Mama Samia kanyaga twende. Tumechelewa sana kuhusu bandari.
 
Chama cha Mapinduzi kimeweza kuruka mtego wa Wapinzani kuhusu uwekezaji ndani ya Bandari ya Dar es saalam na kuwaacha Wapingaji Wapotoshaji na Wapinzani wakipigwa na butwaa usiku wa leo.Ni maamuzi ambayo hayakutarajiwa na Wapinzani wa mradi huo muhimu,CCM imeshachukua points tatu muhimu so far.

Maamuzi hayo ya Chama yanaenda kumuimarisha zaidi Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM mwaka 2025 Mh Samia Suluhu Hassan,ambaye ndie Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Dhana dhima ya uwajibikaji wa pamoja imeenda kuuwa uongo na propaganda ya Ubara na Uzanzibari.

Ni wazi kuwa maamuzi haya yenye ukomavu mkubwa wakisimama kwenye dhana ya Uongozi na Utekelezaji wa Maamuzi mazito yaani "Selection & Maintainance of Aim" moja ya Principle muhimu katika dhana ya ushindi katika mambo magumu kama hili ya Uwekezaji wa Bandari ya Dar es saalam.

Ni wazi sasa kwamba maazimio ya NEC ya usiku wa leo wanaenda sambamba na mabadiliko katika baadhi ya sehemu ndani ya Chama ili kukabili Upotoshaji na Usaliti wa wazi ndani ya Serikali na ndani ya Chama.Uenda lolote linaweza kutokea usiku huu au kesho baada ya NEC kuazimia na kuigiza Serikali kuongeza kutoa elimu kuhusu Mkataba wa Bandari na DP World.

Ni wazi kuwa baadhi ya Maofisa ndani ya Serikali na ndani ya Chama wanaweza kuingizwa au kupangiwa majukumu mengine kupisha "Makomando" wa CCM kuingia kazini haraka iwezekanavyo mwezi huu.

The suprise is coming hasa katika eneo la Elimu,Mawasiliano na Habari kwa Umma ambalo this time lilionekana kupwaya kwa viwango vya juu sana.

Hii ndio CCM Kaka.

+255746726484.
 
We mwizi tu hakuna lolote ccm Ni janga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…