Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na waliotutuma ni hao hao Chademakilichofanyika jana ni kwa manufaa ya Chadema si wananchi walio watuma. Loud and clear
Chiligati kwa kukurupuka ni kama Makamba tuu. Hivi kama kuwafukuza watatumia kipengele gani cha katiba?Taarifa ya Tbc ya sa2 usiku mjumbe wa Nec,chiligati amesema Chadema wakiendelea ivo wabunge wa ccm wataagizwa kuwafukuza bungeni wabunge wa chadema. Pia kaongeza kusema kuwa wamevunja katiba,ila ajafafanua wamevunja katiba ya nchi gani maana mpaka sasa napekua katiba sijaona kipengele kilichovunjwa. Kwa iyo inapaswa kuwepo katiba mpya itakayokuwa na kipengele cha kuwabana wabunge kumheshimu rais wakati anahutubia bunge. Kuwepo kwa katiba mpya chadema itakuwa imepata dai lake la kwanza. Pili kapt.Chiligati amesema Rais ni sehemu ya Bunge kwa iyo chadema kutoka bungeni imekimbia ofisi yake ya kazi. Ila katiba ninayoijua mimi ya Jamhuri wa muungano wa tz inasema taasisi ya rais itakuwa mhimili mmoja na mihimili 2 ni Bunge na Mahakama. Hapa kuna kitu pia kinaitwa "seperation of power" na "checks and balance" je kweli chiligati ni mbumbumbu wa kuchanganua au ni udikteta au ni utukutu au hakuyaona madarasa ya shule. Great thinkers,bila kujali itikadi zetu za kisiasa,ebu tuelezane ukweli hapa maana sisi ni wasomi na weledi. Nawasilisha.
Nasikia Chadema nao wanampango wa kuwafukuza wabunge wa CCM kwa kuzomea bungeni wamevunja kifungu cha kumi cha katiba ya Chadema hii ndiyo TZ bwana ukisikia nyingine ni ya uongo ndio maana kina RA hawataki kuondoka.
Chaka chua matokeo(CCM) is a devilkwa nini chadema haikupata wabunge zaidi ya 100. Wabunge kiduchu kilele nyingi. Hawana adabu. Dhara kubwa. Eti wanatambua serikali lakini si matokeo. Kwa nini walitoka badala ya kueleza hoja yao kwa njia nyingine. Badala ya kuchezea chombo kikubwa kama bunge. Wachochezi wakubwa . Chadema has a devil sipirit.
Usichoelewa ni kwamba, CHADEMA hawamtambui Kikwete kwa sababu hakupewa madaraka yale kwa mujibu wa Katiba. Wao wameapa kuilinda katiba, na kwa kuwa katiba hiyo ilivunjwa wakati wa kumsimika Kikwete, basi hawamtambui Kikwete kama rais. Iwapo Kikwete angesimikwa kwa kufuata Katiba kuwa watu walipiga kura, zikahesabiwa sawasawa na kujumlishwa bila makosa, basi tatizo hili lisingekuwapo.
E bwana eeeee............then wananchi watawakilishwa na nani huko bungeni. Majimboni hakutatosha.
.........,chiligati amesema Chadema wakiendelea ivo wabunge wa ccm wataagizwa kuwafukuza bungeni wabunge wa chadema. ..........
Nyie ndio wabaguzi msiotakiwa katika nchi hii. Najua inawauma sana kwa mswahili kukaa pale Ikulu na itawauma sana 5 more years.