mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,406
- 711
Hakuna kitu kama hicho..
Pia Chadema naiamini kwa kubeba wanasheria makini..
Pia Chadema naiamini kwa kubeba wanasheria makini..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usichoelewa ni kwamba, CHADEMA hawamtambui Kikwete kwa sababu hakupewa madaraka yale kwa mujibu wa Katiba. Wao wameapa kuilinda katiba, na kwa kuwa katiba hiyo ilivunjwa wakati wa kumsimika Kikwete, basi hawamtambui Kikwete kama rais. Iwapo Kikwete angesimikwa kwa kufuata Katiba kuwa watu walipiga kura, zikahesabiwa sawasawa na kujumlishwa bila makosa, basi tatizo hili lisingekuwapo.
Tusijidanganye. CCM know what they are talking about.
Itakuwa vigumu kwa wabunge wa Chadema kufanya kazi bungeni iwapo chama chao hakiitambui serikali inayotawala.
Cha ajabu ni kwamba walishaapa kuilinda katiba ambayo ndiyo iliyomweka Rais wasiyemtambua madarakani.
Motion inayopelekwa na CCM itapita na wabunge watafukuzwa bungeni. Take my word.
Mnaojiita wasomi, weledi, bla bla ... hamlioni hilo?
Liko wazi hata kwa sisi wa kawaida.
Tusijidanganye. CCM know what they are talking about.
Itakuwa vigumu kwa wabunge wa Chadema kufanya kazi bungeni iwapo chama chao hakiitambui serikali inayotawala.
Cha ajabu ni kwamba walishaapa kuilinda katiba ambayo ndiyo iliyomweka Rais wasiyemtambua madarakani.
Motion inayopelekwa na CCM itapita na wabunge watafukuzwa bungeni. Take my word.
Mnaojiita wasomi, weledi, bla bla ... hamlioni hilo?
Liko wazi hata kwa sisi wa kawaida.
Hana mamlaka ya kuwazuia watu wasicheze KIDUKU CHAO. Awaache waendelee kucheza wakimaliza tutawauliza iwapo hicho ndicho tulichowatuma.Hawana ubavu huo hata kidogo Wanaona aibu tu kwa kuumbuliwa na madudu ambayo wanaendelea kuyafanya.
mtatumia maneno yote lakini ukweli utabaki palepale. To the party chadema is right to the public they are wrong. wananchi wanajua rais yupo. Lakini rais wa chadema hayupo. Vikao wanahurudhuria vya nini. Wasuse kila kitu mpaka 2015 tutawaelewa kweli hawana serikali. Wabunge wametumwa kuwakilisha wananchi si chama. Tatizo la jf ni kutaka kuona kila mtu anasurpot chadema whis is imposible.
Ha! sasa wewe unaogopa nini?Motion inayopelekwa na CCM itapita na wabunge watafukuzwa bungeni.
Tumeliona na tunajua wakiwafukuza, wabunge wetu wataenda kuwashtaki CCM kwa wananchi.Mnaojiita wasomi, weledi, bla bla ... hamlioni hilo?
kwa nini chadema haikupata wabunge zaidi ya 100. Wabunge kiduchu kilele nyingi. Hawana adabu. Dhara kubwa. Eti wanatambua serikali lakini si matokeo. Kwa nini walitoka badala ya kueleza hoja yao kwa njia nyingine. Badala ya kuchezea chombo kikubwa kama bunge. Wachochezi wakubwa . Chadema has a devil sipirit.
Naona kama vile hapa unajisemea mwenyewe, yaani you are talking to yourself kama yule mwendawazimu vile.a party of emotional youth. Kila action inayofanyika ni kama ya mtoto aliyekarika na kuanza kuvunja glass na sahani. Hasira ikiisha ataomba maji ya kunywa wakati hana glass. Simple example. People are not happy in whatever words you put.