Uvccm mfuu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2024
- 453
- 492
Majizi ya kura na madalali ya mali za umma pamoja na machawa yao siku zinahesabika.Na nyie ibenj mpige na udalali Juu badala ya povu
Ccm wanamikwara sana, sio mda mtashangaa wanashusha meli, alafu uchaguzi ukiisha sijui watayapeleka wapi, yatabadilshwa rangiMaandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanazidi kupamba moto huku Vyama vikijipanga Kila kimoja Kwa staili yake.
CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha.
View: https://www.instagram.com/reel/DEEVNJIIaKq/?igsh=MXZiOHN6MXdpc2tqdQ==View attachment 3185963
Swali.
Wale wengine akitoka mwamba ambae Huwa anawakodia helikopta watatumia nini?
Pale Kwa Wajeda nimeona Yutong zaidi ya 200 😄Chopa utaziona tarehe za uchaguzi zikikaribia
Ni zao zilianza kuingia miezi 2 iliyopita na Jana pia zimeshuka zinginePale Kwa Wajeda nimeona Yutong zaidi ya 200 😄
Zimefikia siku ngapi Hadi Sasa? 😂😂😂Majizi ya kura na madalali ya mali za umma pamoja na machawa yao siku zinahesabika.
CCM mchafukogeVipi ule mpambano wa wapigania matumbo mshindi kapatikana!
Hizi ni kodi zetuMaandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanazidi kupamba moto huku Vyama vikijipanga Kila kimoja Kwa staili yake.
CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha.
View: https://www.instagram.com/reel/DEEVNJIIaKq/?igsh=MXZiOHN6MXdpc2tqdQ==View attachment 3185963
Swali.
Wale wengine akitoka mwamba ambae Huwa anawakodia helikopta watatumia nini?
Utakua unawapa nini bwashee, yaonee huruma marinda yakowatakao kuwa wanapanda lile ninaloendesha mimi watakuwa muda wote wanabubujikwa na machozi ya furaha kwa raha watakazokuwa wanapata ndani ya gari.
Hata horn ya ngongongo (baja la miti) hujawahi bofya acha keleleHapo lazima nikamate Usukani wa Moja.kwa hakika watakao kuwa wanapanda lile ninaloendesha mimi watakuwa muda wote wanabubujikwa na machozi ya furaha kwa raha watakazokuwa wanapata ndani ya gari. Mziki kwa mbali ,mwendo safi.
Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanazidi kupamba moto huku Vyama vikijipanga Kila kimoja Kwa staili yake.
CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha.
View: https://www.instagram.com/reel/DEEVNJIIaKq/?igsh=MXZiOHN6MXdpc2tqdQ==View attachment 3185963
Swali.
Wale wengine akitoka mwamba ambae Huwa anawakodia helikopta watatumia nini?
HayajiaminiChama kipo madarakani, upinzani dhaifu, gharama hizi zote za nini?
Unakuta ni project ya mtu tu hapo...
Na wagombea wa upinzani bado wataenguliwa kwa maelfu!Chama kipo madarakani, upinzani dhaifu, gharama hizi zote za nini?
Unakuta ni project ya mtu tu hapo...
What’s all the fuss about?Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanazidi kupamba moto huku Vyama vikijipanga Kila kimoja Kwa staili yake.
CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha.
View: https://www.instagram.com/reel/DEEVNJIIaKq/?igsh=MXZiOHN6MXdpc2tqdQ==View attachment 3185963
Swali.
Wale wengine akitoka mwamba ambae Huwa anawakodia helikopta watatumia nini?
Ww mzee una matatizo mengi sana kichwani.Mnagawa rasilimali za nchi halafu mnazawadiwa mabati kisha mnashangilia zinawatosha kweli?