Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

Wabunge 8 kati ya 46 tofauti ipi
 
Only if hii vita ingekuwa ni ya upinzani. Lakin sasa ni ya ndani ya ccm wenyewe. Chandama wanahusikaje namatatizo yenu?
Waache chadrama mcharuko tumesha wazoea mizee yenye njaa kali sana walahi
 
Huu Ni Upumbavu... Unatulete Tetesi Hapa?
 
Upumbavu unakusumbua
 
Sawq
Sawa, lakin rais ni kachero membe, kwan we unaumia sana?
Atapenyea wapi,kiongozi wa kiafrica kushindwa uraisi ni kwa Sababu Mbili uzembe wake au busara yake tu kuachia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…