Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Gabbage in gabbage out,GIGO!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gabbage in gabbage out,GIGO!
Iyo tume ni huru? Kwa akili zako unategemea watakija na majibu tofaut na matakwa ya maagizo waliopewa? Majumbe wa Iyo tume inakiapo cha uwazi na ukweli?Kamwambie Ngekasong sisi ni dola huru. Ndio maana kuna tume inachunguza hayo anayosema ni ya kwake na familia yake.
Kazi kweli kweli. Nani mkweli?The tests that Tanzania is using we know they are working very well,” Dr. John Nkengasong told journalists on a conference call
Tunaambiwa Raila pia "beberu". Kisa amekosowa wakubwa.Neno beberu katika ubora wake au ujinga wake.
Kila mwenye maoni tofauti na Mh.Raisi Magufuli ni beberu?
Hivi na huyo Jack bilionea wa kichina alietoa masada wa test kits za Corona kwa taifa letu amegeuka beberu?
Huyo Bosi wa kimataifa kwa Africa Disease control center nae ni beberu kwa kuwa hakuunga hoja ya Raisi Magufuli?
Ni sifa gani inahitajika hadi binadamu mwenzako umwite beberu?
Miaka ya 60 kulizuka maneno yenye lugha kama hiyo kila kosa la uwajibikaji kwa nchi za kikominist walisingizia nchi za magharibi. Je tunarudi huko?Lakini mbona matendo ya watawala sio ya kijamaa?
Kwa mwendo huu hatumsaidii Raisi au Taifa letu.
Wewe ndio huelewi, acha kulazimisha tumuelewe. Rais ana taasisi zote za kuchunguza, kwa hiyo kama shida ni wataalam angejua tu kwa kutumia mashushu wake na kama ni hizo testing kits au machine pia angejua kwa kutumia mashushu haohao.Mkuu unauhaba wa madada? Haiwezekani. Kila mtu kwako ni Dada
Twende kwenye hoja,narudia kusema kuwa JPM hakusema kuwa vipimo vina madhaifu Bali alitoa hoja mbili eidha vipimo au wataalamu wetu wana madhaifu hivyo ndo maana wakuu wa kitengo cha maabara wamesimamishwa ili kupisha uchunguzi ambao utasaidia kujua ikiwa matatizo yako kwa vipimo au kwa wataalamu wetu.
Sasa hoja ya huyu beberu mweusi kupinga bila kuja na hoja kwanini papai lionekane linakorona yeye analeta blah blah tu
Mkuu amka usilale
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee Kinje wa kule Chato alikuwa anadhania kila mtu ni zwazwa. Alikuwa anaropoka ropoka tu. Ngoja wataalamu wamfyatue tu.
Wewe ndio huelewi, acha kulazimisha tumuelewe. Rais ana taasisi zote za kuchunguza, kwa hiyo kama shida ni wataalam angejua tu kwa kutumia mashushu wake na kama ni hizo testing kits au machine pia angejua kwa kutumia mashushu haohao.
Sasa unafukuza watu halafu ndio unaunda tume ya kuchunguza, Vyombo vyetu vya usalama/Tiss vinafanya kazi gani??
Sent using Jamii Forums mobile app
May 4, 2020
COVID19 Africa Responds Interview: Dr John Nkengasong Director Africa Centers for Disease Control
Source : African Union AU
https://www.virology-education.com › ...
John Nkengasong, PhD - Virology Education
View attachment 1442530
Dr. John Nkengasong is director of African Centres for Disease Control and Prevention.
John Nkengasong, PhD
Dr. John Nkengasong is director of African Centres for Disease Control and Prevention. Until recently he was the Associate Director for Laboratory Science and Chief of the International Laboratory Branch at the Division of HIV & TB, Center for Global Health, US Centers for Disease Control and Prevention (CDC), Atlanta. In addition, Dr. Nkengasong co-chairs the US President’s Emergency Plan for AIDS Relief’s (PEPFAR) Laboratory Technical Working Group and serves as the founding chair of Board of Directors for the African Society for Laboratory Medicine.
He received a Masters in Tropical Biomedical Science at the Institute of Tropical Medicine in Antwerp, Belgium, and another Masters Degree in Medical and Pharmaceutical Sciences at the University of Brussels School of Medicine and a Doctorate in Medical Sciences (Virology) from the University of Brussels, Belgium. Between 1993-95 he was Chief of the Virology and the WHO Collaborating Center on HIV diagnostics, at the Department of Microbiology, Institute of Tropical Medicine, Antwerp, Belgium.
He joined CDC in 1995 as Chief of the Virology Laboratory, CDC Abidjan, Ivory Coast, and became Chief of the International Laboratory Branch, Global AIDS Program in 2005. His work on HIV diagnosis, pathogenesis, and HIV drug resistance has been has extensively published since 1988 and has published over 120 papers in Journals such as the Lancet, Journal of Virology, Journal of Infectious Diseases, and Journal of Clinical Microbiology.
Dr. Nkengasong has also published multiple book chapters dealing with implementing HIV therapy in resource challenged areas. He has received numerous awards for his work including, but not limited to, the US Secretary of Health and Human Services Award for excellence in Public Health Protection Research, the Sheppard Award nominee, and multiple Director’s Recognitions Award. He has also served on various international advisory boards as well as a reviewer for numerous journals.
Nadhani hujui kanuni za QAQC za scientific studies.Hili jamaa la Africa CDC bonge la dunderhead!
Unajuaje hakuna manufacturing defect ???
Hata ukinunua gari jipya Japan, zero mileage, halafu ukawapigia simu baada ya wiki mbili kwamba gari lenu bovu, hawawezi kukubishia "hilo gari ni zima!!!!
Wakati wewe consumer ndio unacho chombo mkononi na una experience chombo kibovu!
Wewe ndio wataka kuyumbisha. Yeye alijisfu kwa uvumbuzi. Wakati alifanya maigizo ili kuhalalisha madai yake ya kudharau kiwango cha maambukizi.Huyu kibaraka wa mabeberu hajui hata anapinga nini,JPM hakusema moja kwa moja. Kuwa vipimo vina madhaifu na kama ukisikiliza hotuba yake utatambua hili,yeye alisema huenda wataalamu wetu.wana.madhaifu au vipimo
Hivyo aliwataka wataalamu wa afya kamu huyu beberu mweusi ndani ya ngonzi nyeupe wafanye utafiti watuambie madhaifu yako wapi na sio kupinga maana JPM hakuhitimisha kuwa vipimo ni kweli vina madhaifu
Kumuelewa JPM ni kazi ngumu sana hasa ikiwa mtu wa kukurupuka kama huyu beberu mweusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mavi kweli wwDuh! Nilijua tu hili sakata we would be the losers! Hii nchi inaonesha ya vilaza kweli kweli; kila kitu politics badala ya kuzingatia utaalamu.
May 4, 2020
COVID19 Africa Responds Interview: Dr John Nkengasong Director Africa Centers for Disease Control
Source : African Union AU
https://www.virology-education.com › ...
John Nkengasong, PhD - Virology Education
View attachment 1442530
Dr. John Nkengasong is director of African Centres for Disease Control and Prevention.
John Nkengasong, PhD
Dr. John Nkengasong is director of African Centres for Disease Control and Prevention. Until recently he was the Associate Director for Laboratory Science and Chief of the International Laboratory Branch at the Division of HIV & TB, Center for Global Health, US Centers for Disease Control and Prevention (CDC), Atlanta. In addition, Dr. Nkengasong co-chairs the US President’s Emergency Plan for AIDS Relief’s (PEPFAR) Laboratory Technical Working Group and serves as the founding chair of Board of Directors for the African Society for Laboratory Medicine.
He received a Masters in Tropical Biomedical Science at the Institute of Tropical Medicine in Antwerp, Belgium, and another Masters Degree in Medical and Pharmaceutical Sciences at the University of Brussels School of Medicine and a Doctorate in Medical Sciences (Virology) from the University of Brussels, Belgium. Between 1993-95 he was Chief of the Virology and the WHO Collaborating Center on HIV diagnostics, at the Department of Microbiology, Institute of Tropical Medicine, Antwerp, Belgium.
He joined CDC in 1995 as Chief of the Virology Laboratory, CDC Abidjan, Ivory Coast, and became Chief of the International Laboratory Branch, Global AIDS Program in 2005. His work on HIV diagnosis, pathogenesis, and HIV drug resistance has been has extensively published since 1988 and has published over 120 papers in Journals such as the Lancet, Journal of Virology, Journal of Infectious Diseases, and Journal of Clinical Microbiology.
Dr. Nkengasong has also published multiple book chapters dealing with implementing HIV therapy in resource challenged areas. He has received numerous awards for his work including, but not limited to, the US Secretary of Health and Human Services Award for excellence in Public Health Protection Research, the Sheppard Award nominee, and multiple Director’s Recognitions Award. He has also served on various international advisory boards as well as a reviewer for numerous journals.