Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo...Watu ambacho hatujui Ni kuwa ile machine ya PCR haiko tu kwa kupima corona,,ipogo kabla ya corona haijaja,
Testing kit za korona na reagent zake ndizo zilizokuja baada ya ujio wa corona
Figure it out for yourself...
Hapo chini si kweli. Ukweli ni (PhD).Akamatwe awekwe ndani huyo dokta.. anamdhalilisha Jiwe (MSc)
CDC huwezi kuwalinganisha na maprof wetu hao wa Dar.Kamwambie Ngekasong sisi ni dola huru. Ndio maana kuna tume inachunguza hayo anayosema ni ya kwake na familia yake.
Or how certain is he that samples were taken to the lab.Are you sure the samples were positive? Did you see the results?
Yaani washindwe kulalamika wataalam wa laboratory waje walalamike wanasiasa, hii imekaaje.Hili jamaa la Africa CDC bonge la dunderhead!
Unajuaje hakuna manufacturing defect ???
Hata ukinunua gari jipya Japan, zero mileage, halafu ukawapigia simu baada ya wiki mbili kwamba gari lenu bovu, hawawezi kukubishia "hilo gari ni zima!!!!
Wakati wewe consumer ndio unacho chombo mkononi na una experience chombo kibovu!
Ulaya wanalalamikia Rapid test kits, sio laboratory test kits.Huyo atapingaje matokeo ya experiment bila yeye kufanya experiment?
Hata Europe nchi kibao zimeshagundua hizo test kits kuwa nyingi ni feki.
Magu yuko sahihi kwenye hili
Usikasirike Elungata, hiyo ni jab mpaka unakaa...Figure it out for yourself...
Nendeni mkapime mate ya simba sasaWe ndo zwazwa....usimwite Rais wetu majina ya kijinga jinga ....jiangalie na ukizidi tunakufuata hapo ulipo kama kuku
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekebisho kidogo.Dr.Nkengasong ni Mkameruni (Cameroonian)Nkengasong sio beberu huyo ni mkikuyu wa kenya
Huyu Nkengasong in Mkameruuni:Nkengasong sio beberu huyo ni mkikuyu wa kenya
Mi sikasiriki,,wewe haukunisoma vizuri,,
Asante Mkuu kwa ufafanuziHuyu Nkengasong in Mkameruuni:
A veteran of more than 20 years at the U.S. Centers for Disease Control and Prevention (CDC), Cameroon-born Dr. John Nkengasong was appointed director of the newly created Africa CDC in early 2017. Previously, Nkengasong served as acting deputy principal director for the CDC's Center for Global Health in Atlanta
Sent using Jamii Forums mobile app
Mark my words ile tume itachikichia na hutakuja kusikia ripoti usijekushangaa wakaambiwa watudishe per diem,maana tushapigwa TKO... zingatieni utaalamu acheni kujitoa ufahamu. Anyway, tusubiri ile tume ya maprofesa tuone itakuja na ripoti ya aina gani. Kwa mbaali naanza kuona ripoti ikichanwachanwa vipande tena kimya kimya.
Iliyotumika kupima mapapai ni ipiWatu ambacho hatujui Ni kuwa ile machine ya PCR haiko tu kwa kupima corona,,ipogo kabla ya corona haijaja
Testing kit za korona na reagent zake ndizo zilizokuja baada ya ujio wa corona
Jack ma alileta,corona testing kits siyo PCRIliyotumika kupima mapapai ni ipi
Aliyotoa Jack Ma ni nini
Ulaya wanalalamikia Rapid test kits, sio laboratory test kits.
Hizi za kwetu ni lab test kits, hakuna mtu duniani anayezilalamikia.
Sent using Jamii Forums mobile app