Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwani huwezi kujenga hoja bila ya kusema kuwa huna chama. Badili mwandiko wako kwani unatambulika kirahisi!!Punguzeni ujinga..sina chama le
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huwezi kujenga hoja bila ya kusema kuwa huna chama. Badili mwandiko wako kwani unatambulika kirahisi!!Punguzeni ujinga..sina chama le
mkuu nakuona kama unabweka tu. weka facts umakini upi wa JPM kuliko Rais yeyote Afrika. Sina uhakika na marais wengine ila ushahidi wa JPM kukosa umakini kwa kiasi kikubwa umejidhihirisha kwenye kipindi cha Corona. Hili sihitaji kusimuliwa na mtu yeyote. Halafu hiyo kauli ya kwamba huna chama kuna mtu kakuuliza humu. We ni CCM tu acha kujishtukiaPunguzeni ujinga..sina chama lakini haakuna Rais makini Afrika hii kama JPM, tumieni akili zenu kufikiri badala ya kubeba maneno ya washenzi walio karibisha mkono wa mkaburu ndani yao
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
View attachment 1442908
Bodi imekataa madai hayo kuwa si ya kweli na hayana msingi wowote.
My Take
Hii ni aibu tunavuna baada ya Rais kukimbilia kwenye media wakati wangeweza kufanya consultation na wataalamu wakajiridhisha na kuja na hitimisho lisilo na shaka. Kwenye orodha ya wanaopata aibu mnitoe
kwa Covid 19, ni lazima iwe ni kwenye chumba chenye ubaridi na negative pressure. Sasa hao mbuzi na mafenesi, sijui walichukuliwa samples kwenye mazingira gani, na sijui kama Rais aliwapelekea reagents
Punguzeni ujinga..sina chama lakini haakuna Rais makini Afrika hii kama JPM, tumieni akili zenu kufikiri badala ya kubeba maneno ya washenzi walio karibisha mkono wa mkaburu ndani yao
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
We ndio mwendawazimu utakubali vipi vipimo viwe sawa kwa idadi ya vifo 16 afu ukatae vifaa sio sawa kwa idadi ya maambukiz??, Zanzibar wao maabara yao wanasemaje?Wendawazimu tu hao kwani wao ndio walivipokea hivyo vifaa? Wanavijuaaje kama bora au la? Wajinga hao
Sio muda umetoka kutukanwa!!Najisikia aibu mimi...
Wendawazimu tu hao kwani wao ndio walivipokea hivyo vifaa? Wanavijuaaje kama bora au la? Wajinga hao
Bonge la hoja!!We ndio mwendawazimu utakubali vipi vipimo viwe sawa kwa idadi ya vifo 16 afu ukatae vifaa sio sawa kwa idadi ya maambukiz??
Umakini wenyewe ni upi?Punguzeni ujinga..sina chama lakini haakuna Rais makini Afrika hii kama JPM, tumieni akili zenu kufikiri badala ya kubeba maneno ya washenzi walio karibisha mkono wa mkaburu ndani yao
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
ADDIS ABABA (Reuters) - The head of the Africa Centres for Disease Control and Prevention (Africa CDC) on Thursday rejected an assertion by Tanzania’s president that his nation’s coronavirus tests are faulty.
On Sunday, Tanzanian President John Magufuli said the imported coronavirus test kits were faulty after they had returned positive results on a goat and a pawpaw. The next day, the head of the national health laboratory in charge of testing was suspended.
“The tests that Tanzania is using we know they are working very well,” Dr. John Nkengasong told journalists on a conference call.
The Africa CDC, along with the Jack Ma Foundation, a charity run by a Chinese billionaire, supplied the tests, Nkengasong said.
The Tanzanian Health Ministry and government spokesman could not immediately be reached for comment.
Tanzania, where places of worship remain open, has at least 480 confirmed cases and 18 deaths, the fourth highest case load in Eastern Africa. But the data is from Sunday, the most recent day the government released figures.
Almost all other African nations release daily reports on the latest tallies on infections, fatalities and recoveries. Tanzania’s lag has prompted criticism from the country’s opposition that the government is being secretive.
View attachment 1442525
John Nkengasong, Director of the Africa Centres for Disease Control and Prevention attends a news conference on the Africa Centres for Disease Control and Prevention Ebola Response in the Democratic Republic of the Congo (DRC) at the United Nations in Geneva, Switzerland, May 22, 2018.
Kwa hiyo na wewe na akili unazojinadi nazo unaamini Corona ya Mafenesi?Punguzeni ujinga..sina chama lakini haakuna Rais makini Afrika hii kama JPM, tumieni akili zenu kufikiri badala ya kubeba maneno ya washenzi walio karibisha mkono wa mkaburu ndani yao
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Mjinga mwenzake!Yaan watanzania bhana, ulitegemea kila nchi au chombo kitasupport hii issue??...kumbuka Ethiopia ndo alikuwa supplier wa hivi vifaa, unategea atakubali kuchafuliwa kuwa alikuwa supplier wa vifaa fake?, reputation yake ingekuwa destroyed, assume ndo ingekuwa MSD ndo amepata hii tenda ya kussuply unafikiri angekubali tu achafuliwe??.
Kuna baadhi ya vitu sio vya kushangilia, hili sio la JPM bali ni la kwetu wote, Nchi nyingi zimelalamikia hili swala la vifaa ila kwa Tanzania ndo imekuwa Nchi ya kwanza Afrika kutoka hadharan na kusema ukweli huu ili wananchi wake wapate kuelewa na kupata ahueni.
JPM amefanya hichi kwa ajili yetu na familia zetu, kuna vitu vya kushangilia na kumdhihaki ila kwa hili HAPANA.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unasema huna chama kwa sababu una chama.Punguzeni ujinga..sina chama lakini haakuna Rais makini Afrika hii kama JPM, tumieni akili zenu kufikiri badala ya kubeba maneno ya washenzi walio karibisha mkono wa mkaburu ndani yao
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Magufuli Amuokoa Dereva Wa Lori Asipelekwe ‘Karantini’View attachment 1442908
Bodi imekataa madai hayo kuwa si ya kweli na hayana msingi wowote.
My Take
Hii ni aibu tunavuna baada ya Rais kukimbilia kwenye media wakati wangeweza kufanya consultation na wataalamu wakajiridhisha na kuja na hitimisho lisilo na shaka. Kwenye orodha ya wanaopata aibu mnitoe
Utoto unakuwa mwingi kwa Mambo yanaoathiri maisha yetu, Watalipa kwa munguBonge la hoja!!