CDF Mstaafu Mabeyo ametaka kufikisha ujumbe. Je, wananchi tumeuelewa ujumbe?

Paragraph hizi mbili za mwisho ni muhimu sana sana zizingatiwe sana kama wapo bado watu wenye akili nzuri na wanaoitakia mema Nchi hii nzuri iitwayo Tanzania 🇹🇿 !

Vinginevyo ipo siku mtu ataokota Dodo chini ya muarobaini and that will be that !
Katiba mpya bora ni muhimu kuliko kitu chochote kwa wakati huu before it’s too late ⏰ time is running out !!
 
CDF alitukosea heshima sn tulipaswa kufanya uchaguzi
Uchaguzi mlishafanya 2020 mkamchagua Samia kuwa ndiye Rais wa backup (Makamu wa Rais) na Rais Magufuli akifa muda wowote Samia amrithi bila uchaguzi mwingine.

Au mlifikiri Makamu wa Rais ni muimba hooks wa mapambo tu?

Ndiyo concept nzima ya kuwa na "running mate" na kuipigia kura tiketi ya CCM ya "John Pombe Magufuli/ Samia Suluhu Hassan".

Pale hakupigiwa kura Magufuli, ilipigiwa kura tiketi ya CCM ya Magufuli na Samia. Walipewa mandate ya kutawala ya miaka mitano.

Urais ni taasisi, si mtu.

Usicjoelewa ni kipi hapo?
 
Magufuli alikosea kumchagua Samia Kama mgombea mwenza.
 
Hapo alitakiwa mtu strong sn
 
Magufuli alikosea kumchagua Samia Kama mgombea mwenza.
Wale wagombea huwa mara nyingi hawachagui wagombea wenza, huwa wanabambikiwa na chama.

Ukimsikiliza Makonda alivyosema katika vile vikao vya kuzungumzia katiba mpya, ni kama alisema kuwa "Watch this Samia woman, you are going to hear her name a lot".

Alinikumbusha mwaka 1984 kuna Uncle wangu mmoja alikuwa Usalama wa Taifa aliniambia kuwa huyu Mwinyi atakuja kuwa rais wa Tanzania.

Kwa hivyo Samia alikuwa anaandaliwa tangu awali, kabla Magufuli hajapata kuwa mgombea wa urais, watu walishampanga Samia kuwa mgombea mwenza.

Na huu ujinga wa kubambika watu wasioendana kwenye tiketi moja umeleta matatizo sana. Kwa sababu tumepata rais ambaye haendani na Makamu wa Rais, wamelundikwa pamoja tu.

Matokeo yake ndiyo hizi habari alizotuambia Makamba kuwa Ofisi ya Makamu wa Rais ilitengwa mpaka salamu watu walikuwa hawapewi.

Ni hatari sana Rais na Makamu wake kufanya kazi bila ushirikiano wa karibu. Kuna mambo mengi sana yanaweza kuharibika vibaya sana.
 
Hapo alitakiwa mtu strong sn
Ndiyo mjifunze sasa kwamba Makamu wa Rais si pambo tu.

Siyo mtu wa kukata utepe kufungua miradi ya serikali, kuhudhuria sherehe na kupigia kelele habari za muungano na mazingira tu.

Ukimuweka mtu kuwa mgombea mwenza na Makamu wa Rais, umempitisha kuwa Rais muda wowote Rais akifariki.

Yani nchi inaweza kuwa kwenye vita, Rais akafariki, halafu huyo Makamu wa Rais akawa Rais na Amiri Jeshi Mkuu aongoze vita.

Imagine Vita vya Kagera tunapigana na Nduli Idi Amin Dada halafu Rais wetu Samia !
 
Mkuu hatutarudia hili tulifanya kosa kubwa sn tunajuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…