enzi za shule ya msingi shule zikifunguliwa tunaongopeana nilikuwa uwanja wa taifa simba na yanga tehteh niliona Duwaaaaaaaaaa bin saaaaaaaaaaid alivyopiga goli. Raha sana sasa tunatizama online hapa wengine naona muda wa unazi bado sijui sababu hazijafungana bado kila mtu presha humu ... Simba piga 2-0 hao.. ila jamani asilimia kubwa hawa ndio wachezaji wetu wa Taifa bora tuanze kutizama na timu zengine kuwapa nguvu.