Cecil Mwambe ashindwa vibaya uchaguzi Kanda ya Kusini

Unaweka mno ushabiki. Hata kama hamumtaki sio lazima mseme. Hamkisaidii hiki chama badala yake mnazidisha makundi na kuzidisha uhasama. Kama mna watu wenu mngewateua tu kama wenyeviti wa mtaa wa ccm ijulikane moja
 
..cdm mnatakiwa mvumiliane.

..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.

..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia
mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.
Naunga mkono hoja , kushindwa ni sehemu ya demokrasia hatuna haja ya kuwakejeli walioshindwa hata kama hatukuwaunga mkono
 
 
Kama makapi unamaanisha waliotoka CCM, hata huyo Mathew alitoka huko.
Maskini ya Mungu dogo hajui hilo. Labda umfahamishe kuwa mpaka mwaka 2015, Selemani Mathew alikuwa diwani wa CCM katika moja ya kata za Kigamboni, Dar es Salaam. Kisha akaenda kugombea ubunge Mtama kupitia CCM akashindwa na Mh. Nape. Ndipo akaenda Chadema.
 
Panapo majaliwa tunasubiri pia kuona hapo mwakani Membe atakapochukua form kugombea nafasi ya kuteuliwa kugombea urais huko kwenu itakuwaje.
We shall see what will happen.
 
Paragraph ya mwisho sijapendezwa nayo kuandikwa kutoka kwako wewe! Nadhani utakuwa umenielewa, acha hayo tuongee sisi
Maoni yako ni sawa kabisa, hata mimi pia nimeliona hilo.
 
..cdm mnatakiwa mvumiliane.

..ushindani ktk uchaguzi isichukuliwe kuwa ni uadui.

..siyo vibaya kushangilia ushindi, lakini pia mhakikishe wale wanaoshindwa mnawa-embrace na kuwatia moyo.
Thanks GT
 
Ndo demokrasia huo. kwanini wengine wanahisi kila anatetea nafasi akiangushwa basi ni hujuma. Acheni demokrasia ifanye kazi yake.
Kweli kabisa ndg yangu TsafuRD.

Nashindwa kuelewa watu walitaka wagombea watoke droo au vp, kama ni kugombea uenyekiti Taifa kwani mpaka ushinde ngazi ya kanda? Lo kazi ipo mwaka huu.
 
Kama huyo Mwambe ameshindwa hiyo ni habari nzuri sana, sina imani na mtu yoyote toka ccm kupata nafasi yoyote ndani ya cdm. Bado Nyalandu, hao wanaccm 95%+ ndio waliorudi kuunga mkono juhudi, huu uchaguzi umenifurahisha sana. Ila doa langu kubwa ni kwa Mbowe kuendelea kulazimisha kuwa mwenyekiti wa cdm. Katika hilo simuelewi Mbowe wala siawaelewi kabisa cdm. Ifahamike cdm ni taasisi, iweje mtu mmoja akae madarakani zaidi ya miaka 15?
 
Tafsiri ya wasaliti kulingana na Kamusi ya Chadema;

Msaliti= " Mwanachama yeyote anayetaka kuchukua nafasi ya Mbowe kama mwenyekiti"
 
Apishe huko mamluki MKUBWA huyo! Naamini ataenda CCM muda wowote!
 
Kwa mazingira ya sasa bado Mbowe anahitajika cdm kuliko wakati wote hebu siumesikia Lisu anakuwa Makamu mwenyekiti ni maandalizi ya Mbowe kuachia uenyekiti Ila kwa sasa nakushauri usijiingize kwenye porojo za lumumba kumbuka chama cha upinzani kilichobaki kwa sasa ni cdm na Mbowe ndio kisiki hebu niambie leo hii kama si Mbowe labda angekuwa Mwenyekiti Zitto...au Slaa..au Arfi nipe muono wako wa chama kingekuwaje! chama kimejemgwa kwa gharama kubwa haitakiwi kiumizwe eti sababu Mbowe Mwenyekiti wa muda mrefu! ujinga huo wauseme ccm wanasababu zao wamekoa bei ya Mbowe lkn Sisi tunaoangalia siasa za sasa zinavyokwenda Mbowe natakiwa abaki kuhakikisha wakina Lisu wanakamati Uongozi watu ambao chama ndio kimekuwa msaada kwao sio hao waliokuja na mafuriko! thank twice brother
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…