Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
😆😆😆😆Mh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Mnyeti alitoa rushwa kwa madiwani akapandishwa cheo. CCM rushwa ni kanuni ya imani.Mh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Hahahaaa.......hahahaaa....... Wa kajunjumele huyu!Ndio umeiona muda huu!
Kyela mtandao unasumbua yaelekea!!!!
Mwambe alianza kujiuza kwanza kabla ya Uchaguzi , baada ya kustukiwa akadharauliwaSiasa ni uvumilivu Mwambe, kauli ya Halima haikua nzuri lakini ungeikemea palepale maisha yakaendelea.
mkuu Kajunjumele hakuna shida ya mtandao , nimeleta hii habari muda huu kwa sababu mipango ya kupewa pesa ndio imesumbua kidogoHahahaaa.......hahahaaa....... Wa kajunjumele huyu!
Arudi chama dume kuliko kukaa kwenye saccos ya wahuni. Kila mwanachama ni kambale!'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Tunajua kila kitu kuliko unavyodhaniMwambe bado yupo sana........ Rombo kuchele!
The obvious, the expected!'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Hahahaaa...... Tupo falcon hapa tunasubiri matokeo!Tunajua kila kitu kuliko unavyodhani
Mh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.