Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mbona kila kitu kiko wazi kabisa! Mwakani upinzani utabakiwa na wabunge wachache sana iwapo hii hali itabakia kama ilivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kulikuwa na mtifuano[emoji23][emoji23]Siasa ni uvumilivu Mwambe, kauli ya Halima haikua busara lakini ungeikemea palepale maisha yakaendelea.
'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa CHADEMA na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
😆😆😆😆