pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Bora arudi kule 'alikonywea sumu' akafie huko. kwendaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda mwingine huwa nakaa nafikria akili za Wana chadema nabakia kusikitika tu.alitumwa kuharibu uchaguzi chadema
ameshindwa, aondoke tu hana impact yoyote chamani
Angepokelewa na Mzee Mangula,Polepole ni mtu mdogo kwa mwambe'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Siasa ni siasa tu ndugu ...Lowassa alitukanwa kila aina ya majina lakini kila alipokelewa na hivyo vyama ...watu wachache hawawez kukubadilishia malengo yako labda yawe maamuz yako tu .Mtu unaimbwa kwenye nyimbo kama hivi, hata wewe huwezi kubaki. Huu ukikuwa wakati wa kuunganisha chama.
View attachment 1301365
Wenu hadukui?
Au umesahau yaliyompata J Makamba na mzee wa goli na mkono hadi wakaomba radhi mbele ya kamera?
Hana jipya acha aendelee kujiuza tu,makapi kama haya huwa hayaaminiki na huwezi kupanga nayo mikakati ya maana kwa sababu muda wote huwa yanawaza matumboMuda mwingine huwa nakaa nafikria akili za Wana chadema nabakia kusikitika tu.
Yani unaanza je kujifariji kuwa Hana impact Mtu aliechaguliwa na maelf ya wanachadema wa ndanda! Je bila impact ndani ya chadema angepata hizo kula za kumufanya awe mbunge.
Pia, Mtu anaeweza kusababisha Chama kukosa Jimbo lake baada ya kuhamia chama kingine unasema Hana impact. Are you brain fit kweli?
Kama hizi ndo akili Hadi za Viongozi wako wakubwa wa CDM Basi Chadema itabaki kuwa chama Cha upinzani Cha ovyo Sana miaka yote.
Wenzio hata wakipoteza mtaa Mmoja wanasikitika na kuangalia namna gani ya kuurejesha wewe unapoteza mbunge na Jimbo lake harafu kwa akili nyeupe tu unasema HAMNA IMPACT? Daaah kweli Chadema imejaa wahuni na don't care wakutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana tunataka MBOWE aongoze CDM mpaka tumuangushe Mkoloni MWEUSI ,Sasa watu walitaka MAMLUKI CESILIA ndio achukue uwenyekiti?'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
😆😆😆Ndio maana tunataka MBOWE aongoze CDM mpaka tumuangushe Mkoloni MWEUSI ,Sasa watu walitaka MAMLUKI CESILIA ndio achukue uwenyekiti?
Ahame tu uyo mbunge uchwara.'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Hicho ni kisingizio,kuitwa dogo kumemletea mfadhaiko had I kuamua kurudi nyumbani?Je,angepitia mateso kama ya kina Lissu,Mbowe,Matiko,Lema,Sugu na makamanda wengine si angeomba poo kwa mtesi mchana na kuwaacha wenzake?'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa CHADEMA na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole