Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu rahisi yasiyo na mantikialitumwa kuharibu uchaguzi chadema
ameshindwa, aondoke tu hana impact yoyote chamani
Akagombee uenyekiti taifa huko...Arudi chama dume kuliko kukaa kwenye saccos ya wahuni. Kila mwanachama ni kambale!
Yuko Tenende kuandaa mashamba ya mpunga.Ndio umeiona muda huu!
Kyela mtandao unasumbua yaelekea!!!!
aende tu Ni maamuzi yake....na hiyo ndo Rangi yake toka Zamani'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa CHADEMA na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Mkuu heshima kwakoSiasa ni uvumilivu Mwambe, kauli ya Halima haikua busara lakini ungeikemea palepale maisha yakaendelea.
Samahani mkuu. Nimesoma hadi mwisho na nikatoka na hitimisho hilo.Ndugu yangu, ungesoma kwa umakini na mtiririko usingefikia kunivisha huo u CCM.Sijawahi kuwa huko. AMEN
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mimi nimemuelewa sana Cecil Mwambe kwa ujasiri wake. Ataondoka Chadema akiwa ameiachia changamoto za kutosha tu kupitia hoja zake alizozitoa wakati wa kampeni. Na uzuri alisha ahidiwa na Magufuli kutetea kiti chake cha ubunge iwapo atarudi nyumbani (ccm), hivyo hana cha kupoteza.
Wakati huo huo, hao wabunge wengine wa Chadema bahati mbaya hawajui kesho yao itakuwaje! Wanatambua fika mwakani wana wakati mgumu sana wa kupoteza majimbo mengi kwenye uchaguzi mkuu kwa sababu tu ya figisu na fitna za ccm, na pia kwa sababu ya ukosefu wa tume huru ya uchaguzi.
'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa CHADEMA na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Siasa ni uvumilivu Mwambe, kauli ya Halima haikua busara lakini ungeikemea palepale maisha yakaendelea.
alitumwa kuharibu uchaguzi chadema
ameshindwa, aondoke tu hana impact yoyote chamani
Wewe uliye iona mwanzo mbona hukutuwekea hapa jamvini?Ndio umeiona muda huu!
Kyela mtandao unasumbua yaelekea!!!!