Tetesi: Cecil Mwambe kuhamia CCM muda wowote kuanzia sasa

Tetesi: Cecil Mwambe kuhamia CCM muda wowote kuanzia sasa

Kazi aliyokuwa amepewa imemshinda, sasa acha arudi kwao akajibu mashitaka.
 
Mh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Mkuu toa mkanda kukata mzizi wa fitina maana rushwa ni mbaya sana na haina vyama labda kule ilipopewa hesima ya kubatizwa jina takrima!!!!!
 
Mh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Uongo kama wa Magu wa dona kantri. Weka na wapelekee takukuru. Nya wee
 
'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"

.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Ahamie mara ngapi mbona tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Sio kila unachosikia unaamini we kijana! Ukisikia kijiweni wanasema mie ni rafiki wa mzazi wako wa jinsia ya Hawa utaanza kuniita baba bila kutafakari kwanza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama chaguzi za ubunge bado zinafanyika ataondoka ila kama chaguzi hazipo tena hadi uchaguzi mkuu basi hataondoka sababu mwakani kuna vikao vya bunge likiwemo la bajeti atakosa posho... atakuja kuondokaa bunge likishavunjwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha kwanini asisubirie bunge liishe au atalipwa na mafao ya ubunge na huyo polepole.
 
Hahaha kwanini asisubirie bunge liishe au atalipwa na mafao ya ubunge na huyo polepole.
Mgogoro uko hapo , inasemekana anataka mil 500 pamoja na posho zote za vikao vilivyobaki , ikiwa ni pamoja na kiinua mgongo .
 
'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"

.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Baada ya kuukosa uwenyekiti? km ni hivyo basi uwenyekiti haukumfaa ''He is going to prove that he is not a strong politician'' cheap politicians are easily bought and controlled
 
Mh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Imoo
5322303_fbimg1494602736817_jpeg3b5fbc6efe7b773c8375fea567292c2b.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom