Toa huo ushahidi ili wasichongeMh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa huo ushahidi ili wasichongeMh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Mkuu toa mkanda kukata mzizi wa fitina maana rushwa ni mbaya sana na haina vyama labda kule ilipopewa hesima ya kubatizwa jina takrima!!!!!Mh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Uongo kama wa Magu wa dona kantri. Weka na wapelekee takukuru. Nya weeMh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Ahamie mara ngapi mbona tayari'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Sio kila unachosikia unaamini we kijana! Ukisikia kijiweni wanasema mie ni rafiki wa mzazi wako wa jinsia ya Hawa utaanza kuniita baba bila kutafakari kwanza?Mh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Endeleeni kufahamu CCM inasonga mbele!Chadema ni zaidi ya unavyodhani , viongozi wenu washamba wa makao makuu hakuna wanachopanga kisichofahamika
Alitaka uenyekiti kwa faida ya CCM sasa ameukosa anaenda kwa waliomtumia.
Kwa usawa huu,unaweza kweli kuacha ubunge kirahisi tu bila kupewa chochote au bila kuwa na uhakika wa kupewa cheo/uteuzi?
Mgogoro uko hapo , inasemekana anataka mil 500 pamoja na posho zote za vikao vilivyobaki , ikiwa ni pamoja na kiinua mgongo .Hahaha kwanini asisubirie bunge liishe au atalipwa na mafao ya ubunge na huyo polepole.
Mh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Baada ya kuukosa uwenyekiti? km ni hivyo basi uwenyekiti haukumfaa ''He is going to prove that he is not a strong politician'' cheap politicians are easily bought and controlled'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa Chadema na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
Chadema haiwezi kupata demokrasia popote kama wenyewe hawana hiyo demokrasia.
Kumbe wote hawana demokrasia. Basi usidai demokrasia kama wewe siyo kielelezo cha demokrasia.Mwenyekiti wenu kuwatishia na kudukua mawasiliano ya wanachama wake ndio demokrasia ya kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
ImooMh. Mbowe a.k.a mla rushwa nambali wani aligawa mil 2 kwa kila mjumbe wa mkutano, ushahidi wa video upo kabisa, mkichonga sana tunautoa.
Kumbe wote hawana demokrasia. Basi usidai demokrasia kama wewe siyo kielelezo cha demokrasia.