LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Ana tafuta mahali pa kutokea. Yaani kijana kama huyu ana anza kuwa malaya wa sias aunadhani ata gika mbali? Alitumwa kuua Chadema sasa ana kufa yeye
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa ni uvumilivu Mwambe, kauli ya Halima haikua nzuri lakini ungeikemea palepale maisha yakaendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app