Kumbe kulikuwa na mtifuano[emoji23][emoji23]Siasa ni uvumilivu Mwambe, kauli ya Halima haikua busara lakini ungeikemea palepale maisha yakaendelea.
'' Wananchi wa Ndanda walinipa heshima ya kuwa mbunge wao, leo ninatukanwa na Vibaraka wa Mbowe kuwa mimi ni dogo, nadhani imefika hatua ya wananchi wa Ndanda na Mtwara kwa ujumla kukataa kabisa uhuni na ubaguzi wa CHADEMA na kutokaa na kadi zao kwenye nyumba zetu'' Cecil Mwambe"
.....Atapokelewa na Humphrey Polepole
ππππ