Celebrities wa Tanzania waliobadili dini na kuwa Waislam

madhara ya kuimbia nyimbo zisizo na upako wa Mungu ili mradi tu msanii auze huangukia pua, nyimbo/albam itadoda haitauzika sana na mwisho msanii huyo huanguka anguko baya la kashfa ya ngono/kuharibu ndoa yake na hakuna atakayependa nyimbo zake tena. Wapo tunawaona walivyoanguka
 
Ninawajua wanawake wakristo waliowahi olewa na waislamu wakidhani wanaume wa kiislamu wenye hela wanajali sana wake wakiwa hawajui vizuri walipogundua kuwa matapeli wakawaacha hao wanaume hao wanaume wakawatupia majini wakaondka na majini
Kumbuka dini ya haki ya majini (mapepo) ni uislam, na majini yana surah nzima yanaongea Yao ndani ya Koran
 
Huu ujinga ndio kunaleta maana?

Your browser is not able to display this video.
 
Ni Uongo. Hawafanani kamwe.
Kabisa
Kama yule tapeli aliyejiita yesu hafanani na wala si mwenyewe tunaomwita Isa
Yule tapeli yesu alidanganya alikufa akafufuka ameacha utitiri wa manabii matapeli kila penbe ya dunia, na sasa wamefika kwetu kina mwamposa, na Isa tunaomjua sisi sio huyu tapeli yesu.
 
Baada ya kumwona mwijaku naona wengi wamefata hela kwenye uislam
 
Isa ni nani? Isa na Yesu ni tofauti sana. Yesu ni Masiya. Isa sijui ni nani. Nadhani alichomekewa tu kwenye issue za Mudy na Quran. Muddy unajua alikuwa mwizi, malaya, ben 10,anakula wanaume wenzie, anavaa nguo za wake zake n.k.

Nianze kuweka vifungu? Maana hapa ndo nlikuwa napataka.
 
We unawaona hao watu wana Mungu ndani yao? Hata yule Allah tu basi..., Wanae?
 
Pfunk alibatizwa kwa jina la Paul, baba yake alikuwa mkrsto,

mama yake (Aunt Sheilah) inasemekana alikuwa muislam ila aliolewa kikristo.

P Funk alisilimu na kupewa jina la Khalfani ukubwani

hata kuoa ANAOA kiislam

🤣🤣🤣🤣
swala la kujirudiarudia au swala endelevu la mara kwa mara kama kuoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…