Celebrities wengi wa Bongo ukikutana nao unakuwa disappointed kwa mwonekano wao

Celebrities wengi wa Bongo ukikutana nao unakuwa disappointed kwa mwonekano wao

Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe

Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe

Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha tunaishi nao
 
Inatakiwa wanajamii tuache kuwaumba upya hao tunaowaita watu mashuhuri......Ukiacha shughuli zao zilizowapa umashuhuri wao ni watu kama sisi tu.......kwanini umshangae kwa kumuona katika muonekano kama wa watu wengine kwenye jamii....??

Jamii tunazoishi kuna watu wafupi ,warefu ,wembamba, wanene na wa kila aina na hao wasanii ni miongoni mwa watu na sio viumbe kutoka sayari nyingine....
 
Tatizo filterz nazo zinachangia...

Demu akijipiga selfie na ka filter kwa mbali Kisha akapost unaweza sema rihana au Beyonce huyu hapa ...

Sasa kutana nae live... Utamkimbia walah, ukimsogelea ndio kabisa

Wengine hadi ndevu utaziona lkn kwenye selfie hazionekani
 
Moja kwa Moja mi naanza na Lulu Elizabeth Michael picha zake nyingi unapata imagination kuwa ni mrefu kiasi lakini ukikutana nae kwa ule ufupi unakuwa disappointed 😞
Utakuwa na shida sana, kama unakuwa disappointed kwa kimo cha mtu mwingine ambaye wala hata hamna mahusiano sijui shida zako binafsi zinakudisappoint kiasi gani...
 
Moja kwa Moja mi naanza na Lulu Elizabeth Michael picha zake nyingi unapata imagination kuwa ni mrefu kiasi lakini ukikutana nae kwa ule ufupi unakuwa disappointed [emoji20]
Naungo mkono hoja,niliwai kukutama na dog janja yaani ni mfupi tofauti na unavyomuona kwenye kideo
 
Back
Top Bottom