Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] acha uongo wee.Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe
Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We utakuwa hujakutana na mkojani unaweza dhani wale wauza maji wa kariakoo na zile ndevu zake kama chanuo
Piere hana noma yye ni katuni by nature!Ukikutana na Pierre Liquid utasemaje sasa
🤣🙌🙌Ukikutana na Pierre Liquid utasemaje sasa
Tatizo ni picha wanazopost huko Instagram,, ndio maana ukikutana nae lazima upigwe na butwaaTatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe
Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Je matiti ni makubwa vile au ni picha tu zinayakuza?Ukipost picha kwan unaonesha umrefu au mfupi. Lulu sio mrefu lakin ni mzuriii
Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe
Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Si ananyonyesha jamani au?Je matiti ni makubwa vile au ni picha tu zinayakuza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo mleta uzi katokea Maneromango, kazimzumbwi au Chole?Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe
Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Numbisa watu kama Lulu waliopitia magumu bila kukataa tamaa mara nyingi wana green futureMpumzisheni huyo binti jamani toa hata mfano wa wema,uwoya etc
Labda anasaka mrembo mrefuSasa ufupi na urefu una tatizo gani hadi uwe disappointed???
Mkuu kuna vitambi havisikiagi diet.Ufupi na urefu ni majaliwa toka kwa Mungu ila kitambi ndio juhudi binafsi.