Celebrities wengi wa Bongo ukikutana nao unakuwa disappointed kwa mwonekano wao

Celebrities wengi wa Bongo ukikutana nao unakuwa disappointed kwa mwonekano wao

Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe

Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] acha uongo wee.
 
We utakuwa hujakutana na mkojani unaweza dhani wale wauza maji wa kariakoo na zile ndevu zake kama chanuo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe

Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Tatizo ni picha wanazopost huko Instagram,, ndio maana ukikutana nae lazima upigwe na butwaa
 
Ukipost picha kwan unaonesha umrefu au mfupi. Lulu sio mrefu lakin ni mzuriii
 
Mi sijawaona wengi,nimemuona Wema na Diamond pamoja na Afande Sele,kiukweli hawana tofauti na huko instagram.Ninawasihi wasanii,wajaribu ku-maintain mionekano yao,walivyo Insta wawe hivyohivyo tukikutana nao.
 
Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe

Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

Watu wa mkoani tulikuwa tumetulia tu. Acha kutuingiza kwenye mambo ya ajabu.
 
Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe

Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo mleta uzi katokea Maneromango, kazimzumbwi au Chole?
 
Back
Top Bottom