Celebrities wengi wa Bongo ukikutana nao unakuwa disappointed kwa mwonekano wao

Celebrities wengi wa Bongo ukikutana nao unakuwa disappointed kwa mwonekano wao

Tatizo filterz nazo zinachangia...

Demu akijipiga selfie na ka filter kwa mbali Kisha akapost unaweza sema rihana au Beyonce huyu hapa ...

Sasa kutana nae live... Utamkimbia walah, ukimsogelea ndio kabisa

Wengine hadi ndevu utaziona lkn kwenye selfie hazionekani
Siku moja niko zangu kijiwen nikawa na view status basi kuna jamaa yangu akaona status ya shemeji yangu mmoja mke wa binamu aisee alizuzuka akapagawa mbaya (kisa ma filter ya snapchat hayo) ..nikamuonea huruma sana maana kiukwel hata mimi nikiri shemeju nainaye mjua na ile status picture alo post ni vitu tofaut kabisaa.Nikajua ni kwann wanaume wanapigwa sana mitandaoni...Tika siku hiyo huwa nadharau sana picha hasa kama mtu simjui live live
 
Nilikutana na Diva bank moja tupo dawati la malalamiko...........itoshe tu kusema hizi filter ni noma isee
 
Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe

Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu wa mikoani tunaingiaje hapo!?
Mleta uzi ni mdaslam mwenzio, wanoombaga kupiga nao picha huko daslam ni wadaslam wenzao, sisi tunawaleteaga shobo wakija huku kwetu tu ila tukiwa huko hata mimi mpare wa milimani siwashobokei hata kidogo.
 
WALE WANAOTAFUTA WAPENZI KWA NJIA YA MTANDAO, WANAJUA ZAIDI HAYA.

UNATUMIWA PICHA, UNA JAA WIVU NA KUWA NA MASWALI MENGI. HIVI HAKUNA WANAUME/WANAWAKE HUKO?
SASA UJE KUKUTANA NA MTU MWENYE ANA KWA ANA.......................KITUKO!!!
 
Tatizo watu wengine hasa wa mikoani wanadhani wasanii au celebrities ni watu exceptional,Yani watu Fulani hivi unique,lkn kumbe ni watu Tu wa kawaida Kama Mimi na wewe

Hapa mtaani kwangu kuna Mzee wa bongo muvi maarufu sn naishi nae namwona wa kawaida mno,lkn tukipiga Stori nje wakapita watu wanaomba kupiga nae picha

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Umesema kweli kabisa.....wakati huku tunashinda nao tu.
.
 
Back
Top Bottom