Celebrities wengi wa Bongo ukikutana nao unakuwa disappointed kwa mwonekano wao

Celebrities wengi wa Bongo ukikutana nao unakuwa disappointed kwa mwonekano wao

We utakuwa hujakutana na mkojani unaweza dhani wale wauza maji wa kariakoo na zile ndevu zake kama chanuo
Katika uigizaji wake sijwahi kuona ameng'aa zaidi ya kuvaa misuli tu.

Lakini mkojani hanaga makuu na huyo ni komedian wa kuzaliwa sio wa kuigiza kama babalevo
 
Katika uigizaji wake sijwahi kuona ameng'aa zaidi ya kuvaa misuli tu.

Lakini mkojani hanaga makuu na huyo ni komedian wa kuzaliwa sio wa kuigiza kama babalevo
Aah Baba levo ni comedian wa kuzaliwa mkuu,anapoongea halazimishi kuchekesha,Ila unajikuta Tu umecheka

Nilicheka sn juzi
Wiki iliyopita WASAFI walikuwa bungeni,wakatambulishwa Kwa majina kuanzia kiongozi mkuu Hadi ww mwisho.Ilipofika zamu ya Baba levo wabunge walipiga sn makofi

Sasa kichekesho ni siku ya ijumaa ya juzi yupo studio,anasimumia jinsi ilivyokuwa bungeni wakati anapigiwa makofi

Anakuambia asee Mimi Baba levo militia sn aibu bungeni Yani,akaulizwa why? Akajibu wakati wabunge wanampigia makofi mengi akawa anajiuliza hivi hawa wabunge haya makofi mengi hivi wanayonipigia ni Kwa sababu wanajua Mimi ni mtu wa hovyo hovyo na naishi Kwa uchawa au kuna tatizo lingine 😅?
Alafu mbn HR wamempigia makofi machache lkn Mimi ni mengi hivi,huku si kufitinishana na bosi huku 😅😅😅
 
Aah Baba levo ni comedian wa kuzaliwa mkuu,anapoongea halazimishi kuchekesha,Ila unajikuta Tu umecheka

Nilicheka sn juzi
Wiki iliyopita WASAFI walikuwa bungeni,wakatambulishwa Kwa majina kuanzia kiongozi mkuu Hadi ww mwisho.Ilipofika zamu ya Baba levo wabunge walipiga sn makofi

Sasa kichekesho ni siku ya ijumaa ya juzi yupo studio,anasimumia jinsi ilivyokuwa bungeni wakati anapigiwa makofi

Anakuambia asee Mimi Baba levo militia sn aibu bungeni Yani,akaulizwa why? Akajibu wakati wabunge wanampigia makofi mengi akawa anajiuliza hivi hawa wabunge haya makofi mengi hivi wanayonipigia ni Kwa sababu wanajua Mimi ni mtu wa hovyo hovyo na naishi Kwa uchawa au kuna tatizo lingine [emoji28]?
Alafu mbn HR wamempigia makofi machache lkn Mimi ni mengi hivi,huku si kufitinishana na bosi huku [emoji28][emoji28][emoji28]
Uchawa unamharibia hadi anaharibu mkui
 
Moja kwa Moja mi naanza na Lulu Elizabeth Michael picha zake nyingi unapata imagination kuwa ni mrefu kiasi lakini ukikutana nae kwa ule ufupi unakuwa disappointed [emoji20]

But Ana kasura kake kazuri tu na karangi
 
Aah Baba levo ni comedian wa kuzaliwa mkuu,anapoongea halazimishi kuchekesha,Ila unajikuta Tu umecheka

Nilicheka sn juzi
Wiki iliyopita WASAFI walikuwa bungeni,wakatambulishwa Kwa majina kuanzia kiongozi mkuu Hadi ww mwisho.Ilipofika zamu ya Baba levo wabunge walipiga sn makofi

Sasa kichekesho ni siku ya ijumaa ya juzi yupo studio,anasimumia jinsi ilivyokuwa bungeni wakati anapigiwa makofi

Anakuambia asee Mimi Baba levo militia sn aibu bungeni Yani,akaulizwa why? Akajibu wakati wabunge wanampigia makofi mengi akawa anajiuliza hivi hawa wabunge haya makofi mengi hivi wanayonipigia ni Kwa sababu wanajua Mimi ni mtu wa hovyo hovyo na naishi Kwa uchawa au kuna tatizo lingine [emoji28]?
Alafu mbn HR wamempigia makofi machache lkn Mimi ni mengi hivi,huku si kufitinishana na bosi huku [emoji28][emoji28][emoji28]

Sasa hao waBunge wenyewe pia wengi si Machawa tu..Hawana tofauti na Huyo Bana Level
 
Aah Baba levo ni comedian wa kuzaliwa mkuu,anapoongea halazimishi kuchekesha,Ila unajikuta Tu umecheka

Nilicheka sn juzi
Wiki iliyopita WASAFI walikuwa bungeni,wakatambulishwa Kwa majina kuanzia kiongozi mkuu Hadi ww mwisho.Ilipofika zamu ya Baba levo wabunge walipiga sn makofi

Sasa kichekesho ni siku ya ijumaa ya juzi yupo studio,anasimumia jinsi ilivyokuwa bungeni wakati anapigiwa makofi

Anakuambia asee Mimi Baba levo militia sn aibu bungeni Yani,akaulizwa why? Akajibu wakati wabunge wanampigia makofi mengi akawa anajiuliza hivi hawa wabunge haya makofi mengi hivi wanayonipigia ni Kwa sababu wanajua Mimi ni mtu wa hovyo hovyo na naishi Kwa uchawa au kuna tatizo lingine [emoji28]?
Alafu mbn HR wamempigia makofi machache lkn Mimi ni mengi hivi,huku si kufitinishana na bosi huku [emoji28][emoji28][emoji28]
Analazimisha tu, wala sio commedian yule.
Uchawaaaaaa hadi........... Malizia mwenyewe.
 
Tatizo filterz nazo zinachangia...

Demu akijipiga selfie na ka filter kwa mbali Kisha akapost unaweza sema rihana au Beyonce huyu hapa ...

Sasa kutana nae live... Utamkimbia walah, ukimsogelea ndio kabisa

Wengine hadi ndevu utaziona lkn kwenye selfie hazionekani
Duh hilo la ndevu lilinisumbuaga sana kabla ya kujua mambo ya filter...manake demu namjua ana ndevu na madoa kibao lakini akipiga picha hana ndevu wala chunusi
 
Moja kwa Moja mi naanza na Lulu Elizabeth Michael picha zake nyingi unapata imagination kuwa ni mrefu kiasi lakini ukikutana nae kwa ule ufupi unakuwa disappointed 😞

"Celebraties" ndio kitu gani?​

 
Waseme wote ila sio UWOYA.
Case Closed
Uwoya ushawahi kumuona live? Au akiwa kapigwa picha bila yeye kujua?

Screenshot_20211221-142252_1.jpg
 
Huishi na huyo mzee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingia YouTube angalia nyimbo ya Rayvann- unaibiwa,Yule Mzee mwenye vidotidoti usoni,pia ana mabango mengi mabara barani au Kama unatumia crdb acc siyo Jambo geni kumuona kwenye screen za ATM

Pia nyimbo mpya ya Baba levo,gnako ft jux,zuchu-mwambieni,20%-nyumba ya milele, diamond-hiyo

Inshu siyo huyo mzee,inshu ni hao wasanii wanakuja home mara Kwa mara alafu nawaona wa kawaida sn

Km unabisha njoo ghetto,anapenda totozi km wewe vibaya mno😅😅..alafu km unataka connection ya WCB kufanya collabo nione pia😅

Nimetumia nguvu nyingi sn kukuua😅😅
 
Back
Top Bottom