Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
hapa tz tukileta watoto wetu toka USA naona tutaleta matatizoMtandao gani ni P2P ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa tz tukileta watoto wetu toka USA naona tutaleta matatizoMtandao gani ni P2P ?
mfano p2p ukiwa ushuzi unawez kuzuiaMtandao ulisheki t bt nafikir hyo inxhu aihucani na makosa aliyonayo
Elezea kidogo hapahapana .kuna kitu watu wengi hapa tanzania hata hapa JF ni wapuuzi idara yao.
Neuron inaweza kujifanya kuto kuhusika kwenye mfumo nenda soma walivyo tengeneza telegram. yani unaweza kupokea lolote ila wewe ulitengeneza kwa ajili ya kutoa tu sio kushirikiana
Whatsapp unavyopiga na kupokea simu na hata unavyotumiana msg na mwenzio ni p2p nadhani... telegram yenyewe huwa inaapply p2p kwenye baadhi ya maeneo kwamfano unavyojisajiri na kutumiwa ile OTP kwenye namba yako.Mtandao gani ni P2P ?
tumuulize moderator JF ashindane na mwanangu itakuwa vichekesho hapa naonaWhatsapp unavyopiga na kupokea simu na hata unavyotumiana msg na mwenzio ni p2p nadhani... telegram yenyewe huwa inaapply p2p kwenye baadhi ya maeneo kwamfano unavyojisajiri na kutumiwa ile OTP kwenye namba yako.
😆😆washindane kwenye nini sasa?tumuulize moderator JF ashindane na mwanangu itakuwa vichekesho hapa naona
mimba changa za ccm😆😆washindane kwenye nini sasa?
Dah, mantiki tena imekupiga cheng's, unataka tzs ifanane na dola na ksh Ili iweje?..pesa ya korea kusini thamani yake sawa na tzs,riyali ya Oman ina thamani kuliko $ na UK poundlugha yangu imenisaidia nini wakati TZS iwezi kufanana USD au Kenya shilingi
Yawepo au yasiwepo, mie Tele haijasumbua, na haisumbuii, ndo nashangaa hapa kwenu nyie.Huna mambo mengi humo Tele[emoji23]
Unajipakulia MINYAMA YA PAMOKO 👏Yawepo au yasiwepo, mie Tele haijasumbua, na haisumbuii, ndo nashangaa hapa kwenu nyie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mitandao yote inayo serve torrent 1337x, piratebay na wengineo, microsoft na games mbalimbali wanatumia pia p2p ukidownload update na wewe unamgaia mwenzako. kifupi kwenye p2p kilamtu ni server.Mtandao gani ni P2P ?
Rabeeekaaaah 😂😂👏Wizoooooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ungemuita hata coca jamani hahaaa huna hurumaAnisaidie kumjibu😄
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizoooooh usiuzee codes puliiiiizzzzz.Unajipakulia MINYAMA YA PAMOKO [emoji122]
PAMOKO ndo wapiiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rabeeekaaaah [emoji23][emoji23][emoji122]
Abeeeeeeh dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungemuita hata coca jamani hahaaa huna huruma