Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umeonaeeeeeeeee?Madikteta mwaka huu wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeonaeeeeeeeee?Madikteta mwaka huu wao
Chad haijawahi kuwa na uchaguzi huru na haki cha msingi tazana ulikiwa ni mhula wake we ngapi.Ngoja tuangalie ushindi wake na uchaguzi Kama ulikua huru na haki.
Kapewa Urais kama pole Kwa kufiwa ama naye alikuwa sehemu ya Serikali au miongoni mwa wagombea?Mwanae kapewa Urais wa mpito!!
Africa ni Africa tu naye wahesabu miaka 30 mingine
Kuna siku madikteta wataisha tuMwanae kapewa Urais wa mpito!!
Africa ni Africa tu naye wahesabu miaka 30 mingine
Duu!Breaking news:Rais Idriss Deby wa Chad aliyeshinda uchaguzi mkuu nchini huko ndani ya masaa machache baada ya kutangazwa Amefariki dunia muda mfupi uliopita.,redio nchini huko kupitia jeshi zimetangaza
Chad kulikuwa na corona?Breaking news:Rais Idriss Deby wa Chad aliyeshinda uchaguzi mkuu nchini huko ndani ya masaa machache baada ya kutangazwa Amefariki dunia muda mfupi uliopita.,redio nchini huko kupitia jeshi zimetangaza
''Bingwa'' alikuwa anafukuzia term ya 6 ya urais!! 🤣 🤣 🤣Chad haijawahi kuwa na uchaguzi huru na haki cha msingi tazana ulikiwa ni mhula wake we ngapi
Alijifanya kwenda mstari wa mbele kupigana na waasi. Alikuwa anaanza ngwe ya 6 kuongoza. Yaani tangu 1990 yupo tu na alikuwa hataki kumwachia mtu mwingine.Nahisi Mungu kaamua kupitisha mkono wake sasa dhidi ya uonevu na ukandamizaji. Tena wanaondokea madarakani kabisa.
Hii dose Mungu aliyoileta iendelee hadi kwa akina Museveni, Paul Biya, Ali Bongo na Paul Kagame.Breaking news:Rais Idriss Deby wa Chad aliyeshinda uchaguzi mkuu nchini huko ndani ya masaa machache baada ya kutangazwa Amefariki dunia muda mfupi uliopita.,redio nchini huko kupitia jeshi zimetangaza
Ukisikia kuchokwa mpaka na roho yako mwenyewe ndio huko sasa. Kizee cha miaka 68 ukajifanye Rambo kama sio kutaka kufa ni nini. Bado kina Museveni nao wanaojiona makomando mpaka uzeeni.Alijifanya kwenda mstari wa mbele kupigana na waasi. Alikuwa anaanza ngwe ya 6 kuongoza. Yaani tangu 1990 yupo tu na alikuwa hataki kumwachia mtu mwingine.
Bado MU7! Nae hana budi kuishi kwa umakini sana. Haiwezekani tangu 1986 mpaka leo, bado anadunda tu.Madikteta mwaka huu wao