Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
kama aliingia madarakani kijeshi ni kawaida kwenda frontKibaraka wa Ufaransa na ni kawaida yake yeye na watoto wake wote wa kiume kwenda mstari wa mbele, waasi wameshawahi kumfikia mpaka nje ya ikulu akawapigia washikaji zake wakifaransa wanakuja kutuliza.RIP ITNO DERBY DARFUR watakukumbuka kwa kuwapa tafu wasiteketezwe na waarabu.